Acheni Mchezo na UKIMWI

Badala ya kumpa counselling wewe ukamkimbia..Sio poa!
Wanaume wa kweli hawatengani kwenye matatizo..au wewe ndio mfuno wa rafiki mnafki.....?

Sorry kwa maneno haya
Kwa kweli nimeshangaa. Nilitegemea mwishoni angekuwa karibu nae na kumshauri akapime. Eti yeye kamkimbia.
 
Fuk dry..... Nna miaka sasa sijui utamu wa nyama kwa nyama mpaka nikioa huko...

Acha nikomae na lyf kwanza huo utamu mnaoukimbiia ndo majanga
 
Pumbavu
 
Write your reply...bora umemkimbia huyo boyaa mkijua kuteleza mjue na madhara yake
 
Ungemfariji tu Magonjwa yapo kwa ajili ya Binadamu leo yeye kesho wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…