Inawezekana wapo wa tabia hiyo humu,waache.Respect your parent's house.
Kongosho .... huyu sijui kama tayari kakua maana nna wasiwasi yule beibe wake akimwamrisha na yeye anaweza kufanya kama huyu anaemlaumu hapaNaona umekua sasa!
Nahisi kamaliza shule ameanza kazi
anaweza enda gest hausi
Vipi DERICK2000 hivi unamkumbuka yule beibe wako anaekupa raha sana na unaemuona kama m
ama mzazi jinsi anavyokupa direction za maisha, mfano na yeye akikuambia uende kwao na akikuambia ufanye kama huyo demu si utafanya tu!
aah,ma beibe is my everything.That Manzi namfil kikwelii jamani,hawezi kuniambia niende kwako 2kado that uzinzi,kwanza ntamshangaa sanaa naamini haiwezi tokea.na akiniambia hayo au may be anaogopa kisa wazaz hawapo,ntamwambia alale na friends zake wa kike..nikimuhitaji,is out of my parent house the same applied to her..by the way,am staying alone and she is staying alone.Ndoa mwakani jamani..
Kongosho .... huyu sijui kama tayari kakua maana nna wasiwasi yule beibe wake akimwamrisha na yeye anaweza kufanya kama huyu anaemlaumu hapa
.
Ni aibu na ujinga,Msichana anatembelewa na boyfnd wake,nyumbani kwa wazazi wake.Then wanafanya mapenzi nyumbani kwa msichana(yaan nyumba ya wazazi wa msichana).Kwa nini asikupeleke kwao,kama anaweza????..It's so ashamed.Na wasichana kataeni kuwaita ita boyfnd zenu,pindi wazaz wenu wakisafiri..Mnajiaibisha sana na kujishusha thamani yenu.. Hata kama ndio pesa hana,mwambie muende kwao,kama atakubali..Mbona yeye anaheshimu nyumba ya wazazi wake?..Nimeipata hii kwa jiran yangu hapa,ye wazazi wake wakisafiri tu,boy wake anahamia hapo..Ni aibu kwa kweli..
Mtu akiwa na bachelor ndio anakuwa mstaarabu?
Nawewe mtafute demu ukamgongee kwao!
wanapendana sana.
sasa wewe ulijuaje kama wakiingia ndani wanafanyana?
Ni aibu na ujinga,Msichana anatembelewa na boyfnd wake,nyumbani kwa wazazi wake.Then wanafanya mapenzi nyumbani kwa msichana(yaan nyumba ya wazazi wa msichana).Kwa nini asikupeleke kwao,kama anaweza????..It's so ashamed.Na wasichana kataeni kuwaita ita boyfnd zenu,pindi wazaz wenu wakisafiri..Mnajiaibisha sana na kujishusha thamani yenu.. Hata kama ndio pesa hana,mwambie muende kwao,kama atakubali..Mbona yeye anaheshimu nyumba ya wazazi wake?..Nimeipata hii kwa jiran yangu hapa,ye wazazi wake wakisafiri tu,boy wake anahamia hapo..Ni aibu kwa kweli..
Kwa hiyo mwana umeona nafaiiiiiidi kwa jirani yako ndo umeamua kuja kunifanya mada humu ndani.... Ngoja nkija mitaa ya kwenu hapo nakubobojoa miguu hiyo@derick2000