Acheni tabia ya kupumua ovyoovyo

KELVIN GASPER

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,066
Reaction score
454
Juzi nilikuwa jengo moja refu hapa arusha. Nilikuwa ghorofa ya nne nasubiri lift nishuke niende zang . Mara katoka rubega humo. Kuingia nakutana na harufu Kali ya ushuzi. Nafika g/floor wapo RAIA kibao wanaisubir lift wapande nayo. Jana naingia ATM Crdb pale mount meru hotel hali hiyohiyo. Tafadhali wahusika acheni izo.
 
Kwa hiyo hao waliopanda baada ya wewe kushuka wakajua ni wewe umeharibu hali ya hewa...na mbaya ukute miongoni mwa hao kuna anae kujua hapo...
 
Kwa hiyo hao waliopanda baada ya wewe kushuka wakajua ni wewe umeharibu hali ya hewa...na mbaya ukute miongoni mwa hao kuna anae kujua hapo...
Mkuu hapo ATM nyuma yangu walikuwepo raia wawili wa kigeni.
 
acha ushamba kupumbua kwa kujamba ni afya na muhimu sana ...sema muhimu ni watu kuwa na staa tu ya kuangali sehemu na sehemu...ila maeneo uliyotaj ni sahihi tu..
 
Una maanisha waache kujamba......!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…