Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Santeeeeee kwa kunikumbusha mbali Pwani oyeeee!
Nalog off
yaan mi taarabu zinaninogea za jahazi tu nyingine nasikia makelele tu!! kuna hii ya khadija yusuph inaitwa mambo bado inanikosha balaa
Haaaaaaaaa hapa penyewe!!!!!!!
kama nna hamu sana nnae wangu mpenziii iiii iiii
wenyewe tunapendana anashona nadarizii iii iiii
mmenikuta, muungwana, namuamini mwenyezii iii
hivi hivi, mtaniona, kunishusha hamuwezi iiii
mziki wa wambea na kuchambana
Hivi na majanga ni taarabu?
mziki wa wambea na kuchambana
hehehe sijambo msomi mwenzangu..Hahahaha nlijua tu, msomi hujambo lakini?
Hv yale mauno ya wanataarabu hadi ktandani yanakuwa mwake au? Aliyetest anijuze
mziki gani kuongea puani vidole juu kama mikia ya nge?hebu sogea huko..........
mwaya Mrembo by Nature mi napenda ule......'kupendwa ndio huku....kupendwa kuheshimiwa aaah....sio wewe zumbukuku....kutwa kuranda na njia aaah.......
mtamu sana ule wimbo.........
hebu sogea huko..........
mwaya Mrembo by Nature mi napenda ule......'kupendwa ndio huku....kupendwa kuheshimiwa aaah....sio wewe zumbukuku....kutwa kuranda na njia aaah.......
mtamu sana ule wimbo.........