Acheni Ushamba, Hakuna gari za kike wala za kiume


we nae toa sifa sifa za kipimbi hapa kudadako
 
Huku hatuna Vitz bwana

ona huyu hananga nae na picha ya kudownload!! kama upo huko kweli weka kiatu juu ya hiyo motokaa upige ututumie tena kudadadensa.. ata ivo huko sio kwenu,, kwenu ni huku huku kwenye izo vitz na bodaboda!
 

asante kwa maelezo,, turudishe bongo sasa mazee
 
Hivi hivi vigari vidogo vyenye sura ya kichwa cha mtu ndo mnazungumzia?basi usiku vinawasha full light sijui havina taa ndogo yaani ni sheeeda ndorrrrooobo
 
Vits, passo, spasho, Nadia, murano, plats, ni Magari yanayoendeshwa sana na wanawake, hayajaandikwa popote for ladies, ukiona mwanaume anaendesha basi ujue kuna sababu zifuatazo:
1. Hana uwezo zaidi ya hapo, Akipata tu pesa zaidi atauza anunue chuma cha kiume
2. Labda home ana gari ya 'kiume' ila wese limekata sasa amechukua la mkewe
3. Ni la Dada yake ( namfahamu jamaa mmoja alikua anaendesha spasho ya Dada yake aliyehongwa)
 
Gari za kike ni zile zinazogaiwa bure tu kama zipo
kama gari inanunuliwa kwa pesa na pesa haina jinsia basi gari za kike hakuna..
Unaweza kukuta mtu ana Vits ya milioni 24 na mwingine ana Benz ya milioni 10
sasa 'uanaume' ni upi hapo?

Issue sio gharama ni design reflecting feminism. Je mbona kuna suti za kike ghali zaidi ya za kiume. Au saa mbona ukiziangalia tu unazigundua za kike na kiume japo hazijaandikwa? BABY WALKER ZOTE NI ZA KIKE AU EARLY TEENAGERS.
 

Unamzungumzia Ramadhan wa Mbagala? Nilimpga marufuku maana Gar nimemnulilia dada yake yule Rahma thn yeye Anajibinafsisha
 
Unamzungumzia Ramadhan wa Mbagala? Nilimpga marufuku maana Gar nimemnulilia dada yake yule Rahma thn yeye Anajibinafsisha

Hahaha...alafu jamaa alikua hata aoni noma, alikua anasema kabisa gari ya sister, alafu uwezo wa sister kipindi hicho alikua hawezi kabisa kununua spasho new model kwa pesa yake wala mkopo.
 
Jamaa inaonekana alimshiobokea dem, dem kamkandia Gari lake LA kike ndoo kaja na hamaki zake hapa
Mkuu tulua tu demu wako wengine vumilia utapata tu.
 
Watu hawajui maisha ila ukitembea unajifunza mambo mengi sana, ni nadra sana kukuta Hammer au hayo ma VX au V8 katikati ya jiji la London

wadau, na haya magari yanayosemwa ni hybrid yanakuwaje?
 
Watu wabishi aisee.
Kwanza watu mwanzo mliambiwa jamaniieee kuna Simu za kike na Za kiume.
Watu wakabisha,wakati kuna sim ukiishika tu unakuwa umekaa kidada dada.Na ndio maana Nokia walivyoona watu uelewa Mdogo wakaamua kuleta NOKIA ASHA,lakini utashangaa midume imekomalia.

Toyota nao wakaona wawaletee TOYOTA NADIA,unakuta dume zima limo ndani ya NADIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…