Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Kwenye nyongeza ya mishahara ongeza sauti......Nasikia kuna watu wanapita huko na huko kwenye ofisi za umma kuuliza taarifa za wafanyakazi mahali walipojiandikisha, namba zao za kadi n.k na wengine wanakwenda mbali kwa kuwachimba mkwara kuwa wasipochagua kijani itakula kwao.
Sasa mmejenga fly overs, mmenunua midege, mmekuza uchumi, mmeongeza mishahara kwa wafanyakazi wa umma, mmetoa nyongeza ya kila mwaka kama Sheria inavyotaka, mmelipa nauli za likizo n.k HOFU hii ni ya nini?
Acheni kuweweseka, kura zitazungumza
sijui kwa nini hamuelewi- CCM haitoi huduma kwa shinikizo la kupigiwa kura bali kwa kuzingatia maslahi mapana ya watanzania wote. Napenda nikukumbusheNasikia kuna watu wanapita huko na huko kwenye ofisi za umma kuuliza taarifa za wafanyakazi mahali walipojiandikisha, namba zao za kadi n.k na wengine wanakwenda mbali kwa kuwachimba mkwara kuwa wasipochagua kijani itakula kwao.
Sasa mmejenga fly overs, mmenunua midege, mmekuza uchumi, mmeongeza mishahara kwa wafanyakazi wa umma, mmetoa nyongeza ya kila mwaka kama Sheria inavyotaka, mmelipa nauli za likizo n.k HOFU hii ni ya nini?
Acheni kuweweseka, kura zitazungumza
Na huku Shinyanga wamepita ofisi zote za umma. Baada ya kujaza hizo fomu wamezipeleka Usalama wa Tufa!Nasikia kuna watu wanapita huko na huko kwenye ofisi za umma kuuliza taarifa za wafanyakazi mahali walipojiandikisha, namba zao za kadi n.k na wengine wanakwenda mbali kwa kuwachimba mkwara kuwa wasipochagua kijani itakula kwao.
Sasa mmejenga fly overs, mmenunua midege, mmekuza uchumi, mmeongeza mishahara kwa wafanyakazi wa umma, mmetoa nyongeza ya kila mwaka kama Sheria inavyotaka, mmelipa nauli za likizo n.k HOFU hii ni ya nini?
Acheni kuweweseka, kura zitazungumza
Dah!!!,Magu hataki kabisa kuzungumzia kitu hii
Upo sahihi mkuuHawamu hii watumishi hawana tofauti na punda.
Punda Afe Mzigo Wa Bwana Ufike 😁😂Hawamu hii watumishi hawana tofauti na punda.
Hujawahi fanya kazi kwa muhindi wala mkaburu wewe!Hawamu hii watumishi hawana tofauti na punda.
Kwani usipoenda kabisa kupiga kura watakufanya nini?Nasikia kuna watu wanapita huko na huko kwenye ofisi za umma kuuliza taarifa za wafanyakazi mahali walipojiandikisha, namba zao za kadi n.k na wengine wanakwenda mbali kwa kuwachimba mkwara kuwa wasipochagua kijani itakula kwao.
Sasa mmejenga fly overs, mmenunua midege, mmekuza uchumi, mmeongeza mishahara kwa wafanyakazi wa umma, mmetoa nyongeza ya kila mwaka kama Sheria inavyotaka, mmelipa nauli za likizo n.k HOFU hii ni ya nini?
Acheni kuweweseka, kura zitazungumza
Watashinda tu manake pamoja na ubaya lkn pia uzuri, lkn binadamu hua hauoni uzuri anauona ubaya tuSafari sio watumishi tu,wakulima na wafanya biashara nao hali tete.
Wamebaki na kuishinda corona.
Eti hatuvai barakoa,hatuja loki daun,tunafyatua tu!!
Nani mwenye nafuu sasa manake kila mtu ni kilio pamoja na wewe?Hawamu hii watumishi hawana tofauti na punda.