Ha ha haaHadi imebidi nidhibitishe kama umejiunga Jana.
Karibu sana jf.
Onyo
sumbai ni Mume wangu akikufuata huko pm usimkubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
vipi ushawahiwa?Mara oooh umejiunga Jana unaandika kama mwenyeji[emoji57][emoji57] . kujichanganya ndiyo mpango mzima.
Eti hujakamilisha hata siku una comment nyingi itakuwa wewe mwenyeji[emoji50][emoji50][emoji50]. Sasa nakuwaje mwenyeji na nimejiunga Jana?
Mara sijui like nyingi[emoji24][emoji24]ndiyo zangu kwani kuna mtu kaibiwa zake?
Hamjui hata kukaribisha wageni, mnamsimanga mgeni hadi Mtu ukiwa na roho nyepesi unaweza kuleft.[emoji24][emoji24][emoji24].
Sasa sileft tunabanana hapa hapa.
Haya usiku mwema[emoji119][emoji119][emoji119]
Asante[emoji16][emoji16].Hadi imebidi nidhibitishe kama umejiunga Jana.
Karibu sana jf.
Onyo
sumbai ni Mume wangu akikufuata huko pm usimkubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kizuri kula na nduguzo mwanakwetu...unataka wengine wafe njaa?Hadi imebidi nidhibitishe kama umejiunga Jana.
Karibu sana jf.
Onyo
sumbai ni Mume wangu akikufuata huko pm usimkubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakutafuta ujueBaby Doll usiku mwemah