Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
π€£ π€£ π€£ sasa anaikomoa bank ama anajikomoa mwenyewe?Duuuuuuu....kuna mwengine uku kwetu nae kachoma nyumba yake kukwepa deni la bank.
[emoji1787][emoji1787]POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mmiliki wa basi la kampuni ya HBD lenye namba za usajili T 321 DKW, Ahmedi Hemed (25), kwa tuhuma za kuchoma moto basi hilo na kusingizia kuwa moto huo ulitokana na matatizo ya mfumo wa breki.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, amesema kuwa watuhumiwa hao walikula njama ya kufanya tukio hilo baada ya mmiliki kushindwa kulipa deni la basi hilo kwa moja ya taasisi za fedha nchini linalodaiwa kufikia zaidi ya sh. milioni 200.
View attachment 1561670
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mmiliki wa basi la kampuni ya HBD lenye namba za usajili T 321 DKW, Ahmedi Hemed (25), kwa tuhuma za kuchoma moto basi hilo na kusingizia kuwa moto huo ulitokana na matatizo ya mfumo wa breki.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, amesema kuwa watuhumiwa hao walikula njama ya kufanya tukio hilo baada ya mmiliki kushindwa kulipa deni la basi hilo kwa moja ya taasisi za fedha nchini linalodaiwa kufikia zaidi ya sh. milioni 200.
View attachment 1561670
Hilo basi lililounguzwa, lilikuwa na mfumo gani wa matairi, triplet kama semi trailer?POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mmiliki wa basi la kampuni ya HBD lenye namba za usajili T 321 DKW, Ahmedi Hemed (25), kwa tuhuma za kuchoma moto basi hilo na kusingizia kuwa moto huo ulitokana na matatizo ya mfumo wa breki.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, amesema kuwa watuhumiwa hao walikula njama ya kufanya tukio hilo baada ya mmiliki kushindwa kulipa deni la basi hilo kwa moja ya taasisi za fedha nchini linalodaiwa kufikia zaidi ya sh. milioni 200.
View attachment 1561670
sasa hapo kwenye picha mbona linaonekana hakuna diff wala fron axle pia hata viti hakunaHadi huruma. Inaonekana hakuwa mzoefu kwenye haya mambo.
Angekula na:
Polisi
Fire
Bima
Kisha na hao wanaomdai.
Hapo issue ingeisha juu kwa juu.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Kubaya kama miili ya watu inayookotwa Coco beach!Haaπππ π
Kudaiwa Kubaya Sana
Angalia vizuri hiyo pichaHilo basi lililounguzwa, lilikuwa na mfumo gani wa matairi, triplet kama semi trailer?
Basi gani la hivyo, au ili mradi wameweka tu picha ya gari lililoungua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww hilo basi limepakiwa kwenye semi trailer angalia vizuri acha kukosoaHilo basi lililounguzwa, lilikuwa na mfumo gani wa matairi, triplet kama semi trailer?
Basi gani la hivyo, au ili mradi wameweka tu picha ya gari lililoungua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utajiri huu....!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mmiliki wa basi la kampuni ya HBD lenye namba za usajili T 321 DKW, Ahmedi Hemed (25), kwa tuhuma za kuchoma moto basi hilo na kusingizia kuwa moto huo ulitokana na matatizo ya mfumo wa breki.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, amesema kuwa watuhumiwa hao walikula njama ya kufanya tukio hilo baada ya mmiliki kushindwa kulipa deni la basi hilo kwa moja ya taasisi za fedha nchini linalodaiwa kufikia zaidi ya sh. milioni 200.
View attachment 1561670
Miaka 25 Bado uzoefu mdogo kwenye hayo mambo plus tamaaMchongo umefeli
Ova