Umofia kwenu,
Kuna rafiki yangu yeye anafanya biashara ya kukopesha fedha kwa watumishi wa umma kwa marejesho ya muda mfupi isiyozidi miezi 4 akitumia mikataba fulani anayodhani ina security kwake na mteja kuacha kadi ya bank.
Ishu ilivyo sasa kuna mteja wake wa muda mrefu ambaye mara ya mwisho amemkopesha hela kwa kuaminiana tu kwa kumtumia kwenye simu bila kumjazisha huo mkataba na ni mwezi wa pili huu sasa hajamrejeshea pesa yake.
Ushaidi aliobakiwa nao ni wa kadi ya bank ambayo nayo haifanyi kazi kwa sasa na pia ana SMS anayoamini ina ushahidi ambayo mteja wake akiomba aanze kumlipa mwezi huu baada ya mwezi wa kwanza kushindwa kurejesha na hivi sasa mawasiliano na huyo mteja hayapatikani vizuri akiamini mteja wake amemtapeli.
Kipi afanye huyu swahiba ili apate haki yake? Yeye anawaza kumpeleka mahakamani mdeni wake.
Kuna rafiki yangu yeye anafanya biashara ya kukopesha fedha kwa watumishi wa umma kwa marejesho ya muda mfupi isiyozidi miezi 4 akitumia mikataba fulani anayodhani ina security kwake na mteja kuacha kadi ya bank.
Ishu ilivyo sasa kuna mteja wake wa muda mrefu ambaye mara ya mwisho amemkopesha hela kwa kuaminiana tu kwa kumtumia kwenye simu bila kumjazisha huo mkataba na ni mwezi wa pili huu sasa hajamrejeshea pesa yake.
Ushaidi aliobakiwa nao ni wa kadi ya bank ambayo nayo haifanyi kazi kwa sasa na pia ana SMS anayoamini ina ushahidi ambayo mteja wake akiomba aanze kumlipa mwezi huu baada ya mwezi wa kwanza kushindwa kurejesha na hivi sasa mawasiliano na huyo mteja hayapatikani vizuri akiamini mteja wake amemtapeli.
Kipi afanye huyu swahiba ili apate haki yake? Yeye anawaza kumpeleka mahakamani mdeni wake.