Acid!!

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
we tumia hata gas kushtua kwani nini bana wikend inaweza simama yakhe

ndugu yangu leo haka katoto kameniweza kweli

huwa nina vivespa viwili leo vyote vimegoma kuwaka, sijui ntamalizaje wikendi aisee
 
ndugu yangu leo haka katoto kameniweza kweli

huwa nina vivespa viwili leo vyote vimegoma kuwaka, sijui ntamalizaje wikendi aisee

Hahahahaha Vespa zote zimegoma kuwaka itabidi uchukue TOYO
 
@chauro... kesi imeisha, ila ndo tunaokota mafaili na kuyafungia kwenye sefu... JS has understood me crystal clear and NN has taken over were he started last time
 
afadhali bana upumzike si unajua kesi zisizoisha zinavokuwa unaweza ishia na viduara mtoto usoni
 
afadhali bana upumzike si unajua kesi zisizoisha zinavokuwa unaweza ishia na viduara mtoto usoni
Ya Mramba na Yona inaendelea mkuu... nashukuru hekima za NN na Kaizer wamemtuliza JS wetu
 
Pole lakini kaka Acid...nimeshindwa kuvumilia mdogo wako.....hehehehe hebu kanijibu ile PM yangu basi


Ok....hapa kidogo nimepoteza....:confused2:
Kwani infidelity ina-apply kwa kaka na dada pia.....? :shock::shock::shock:
 
kuna nini hapa.......!
wakubwa mmetenda nini mtoto wa watu.........!
 
haya wajameni...........!
i am OUT

ahsanteni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…