MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Orait ..... orait kwa hilo sidhani kama kamati ya ISC ikiongozwa na mwenyekiti wake Mstahiki Kaizer wana haja ya kukutana tena kujalili hii kesi.Pole lakini kaka Acid...nimeshindwa kuvumilia mdogo wako.....hehehehe hebu kanijibu ile PM yangu basi
Sasa mkulu, ngoja jioni "jopo" likae na wewe manake hii ni very serious...The finest hatakuwepo ila wengine wote wakulu wa hapa...Asprin, Teamo, MJ1, GY, Kimey, st RR na wakubwa wengine tutakaa tujadili hili tukupe na mbinu mbadala za kuovercome hii
halafu katiba ya ISC itabidi tukupe hard copy, maana kusoma soft copy unaoverlook. vyengine,,
NN atashiriki huu mkutano via Video conference,,,,,ial itabidi atangaze kabisa kama kuna conflict of interest
hi ni balah aisee on this very friday!
Mwenyekiti wa ISC...........kwa heshma na taadhima ninaomba jina la MJ1 liondolewe hapo. Kutakuwa na conflicts of interest afu hatutafikia muafaka. ... Iam an IPC by nature remember??
It feels like I've been kicked in the gut....or rather in the nuts. Now another brother is taking over!!!
Hhahhahahaa eti tonge halichagui mboga............nyie watu hizo signature zenu mwazitoapi lakini ah mi mctaki kwani mwananacha hoi!!aah....MJ1....wewe umpe Acid red label, tena aipitie ofisini kabla hajakutana na JS ili ampigie magoti, hizi busara unataka zipotee eti wka a flimsy reason kwamba upo kwenye sijui nini LOL
hapana.....njoo. Acid na Js wanakuhitaji sana kwenye hili...
nikoje tena mamito?Ndio maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana Kumbe Acid uko hivyo:redfaces:
It feels like I've been kicked in the gut....or rather in the nuts. Now another brother is taking over!!! It's a double whammy...damn!
naona sasa mmeanza kuiweka ki-infiiOrait ..... orait kwa hilo sidhani kama kamati ya ISC ikiongozwa na mwenyekiti wake Mstahiki Kaizer wana haja ya kukutana tena kujalili hii kesi.
Orait ..... orait kwa hilo sidhani kama kamati ya ISC ikiongozwa na mwenyekiti wake Mstahiki Kaizer wana haja ya kukutana tena kujalili hii kesi.
We are so sorry.....but may be nawe uliitwa kutoa msaada kwa mdogo wako ukayaziba masikio usisikie kilio chake
Halafu wewe....... upo Dar, kadhahar au kunduz? maana naskia ushaingia afghan
naomba unisamehe......sirudii tena
Why bro? .....or is there something more than what I gathered here?......kuwa why aitwe kaka mdogo wakati kaka mkubwa upo kutoa msaada au? uhAaah MwanajamiiOne.....it's like a ton of bricks has fallen onto me. I'm discombobulated.....can't think straight.
Sasa mkulu, ngoja jioni "jopo" likae na wewe manake hii ni very serious...The finest hatakuwepo ila wengine wote wakulu wa hapa...Asprin, Teamo, MJ1, GY, Kimey, st RR na wakubwa wengine tutakaa tujadili hili tukupe na mbinu mbadala za kuovercome hii
halafu katiba ya ISC itabidi tukupe hard copy, maana kusoma soft copy unaoverlook. vyengine,,
NN atashiriki huu mkutano via Video conference,,,,,ial itabidi atangaze kabisa kama kuna conflict of interest
hi ni balah aisee on this very friday!
Orait....orait........comment withdrawn.naona sasa mmeanza kuiweka ki-infii
that is not right buddies...
Ahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.....................nshakuwa mzazi mwenzio!!......am speechless hili ni bonge la dafrao umenipigawakuu, kimila kijana akiwa ana kesi huita wazee na pamoja na kusikilizwa kwa kesi, huwa kijana anahitaji kuandaa mbuzi na mchele na mbege....... naomba niahidi nitafanya hivyo na pia ntaomba mzazi mwenzangu MJ1 tusaidiane kuandaa hiyo shughuli ili roho ya mtoto itulie, anaonekana amepata maswahiba makali sana toka kwa mganda; sijui jamaa amefanyaje tena?
Why bro? .....or is there something more than what I gathered here?......kuwa why aitwe kaka mdogo wakati kaka mkubwa upo kutoa msaada au? uh
Aaah MwanajamiiOne.....it's like a ton of bricks has fallen onto me. I'm discombobulated.....can't think straight.
Ahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.....................nshakuwa mzazi mwenzio!!......am speechless hili ni bonge la dafrao umenipiga