Acoustic Guitar... "Amezaliwa Mkombozi"...

Acoustic Guitar... "Amezaliwa Mkombozi"...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Ni rough cut ya wimbo ambao nilikuwa nao mawazoni kwa karibu miaka mitatu sasa. So I decided to pick up my guitar na kurelax kidogo kwa kucheza muziki huu.. hope waimbaji wazuri wanaweza kuufanyia kazi vizuri zaidi. Composer ni Mimi, Melody na arrangement..

(of course to studio ya kijiji); kusikiliza vizuri tumia headphones

Toleo la HD litatoka baadaye -hope kabla ya krismasi

Enjoy


 
Last edited by a moderator:
Mzee Mwanakijiji karibu sana uswahilini huku.
Tumezoea kukuona kule kwenye jukwaa la wakazi wa Masaki na Oysterbay (Siasa) na mara chache chache kwenye lile jukwaa la Sinza MMU, lakini leo umefanya vyema kutukumbuka wakazi wa Tandale kwa mfuga chawa CHITCHAT
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mwanakijiji karibu sana uswahilini huku.
Tumezoea kukuona kule kwenye jukwaa la wakazi wa Masaki na Oysterbay (Siasa) na mara chache chache kwenye lile jukwaa la Sinza MMU, lakini leo umefanya vyema kutukumbuka wakazi wa Tandale kwa mfuga chawa CHITCHAT

Bwahahahahaha.....

sosi Yo Yo
 
Last edited by a moderator:
woow.....sauti yako tu Mwanakijiji.......hivi unajua huwa unaniacha halijojo sana.......
 
Kumbe una sauti ya kuimbia na ya kumhoji alhadawi eeh? Nice song. Preta muanzishie thread, lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom