Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
habari za uhakika n hz hapa: Poleni sana kidato cha sita wenzangu kwa kuwa na stress za kusuburi matokeo ila kwa taarifa yako ni kwamba shusha pressure tu yaani kwani kutokana na ubovu wa matokeo hayo wizara ya elimu inafanya kila liwezekanalo kuchelewesha matokeo ili kupunguza idadi ya watakao jinyonga kwani wahtimu kwa sasa wako hot kusikia matokeo yaktangazwa lkn kwa kifupi matokeo yanatangwazwa tarehe 5 mwezi huu..
Naomba kuwasilisha ujumbe wakuu!
habari za uhakika n hz hapa: Poleni sana kidato cha sita wenzangu kwa kuwa na stress za kusuburi matokeo ila kwa taarifa yako ni kwamba shusha pressure tu yaani kwani kutokana na ubovu wa matokeo hayo wizara ya elimu inafanya kila liwezekanalo kuchelewesha matokeo ili kupunguza idadi ya watakao jinyonga kwani wahtimu kwa sasa wako hot kusikia matokeo yaktangazwa lkn kwa kifupi matokeo yanatangwazwa tarehe 5 mwezi huu..
Acha kutuzngua we umebuni au umepata kiusahh
E.T.C=End of your thinking capacity
acha uongo wewe taarifa umezpata wapi.?
Ukitaka kujua idadi ya chekechekea waliopo JF basi ingia jukwaa la Elimu.
Mkuu Everton wetu tu na lazima tumalize juu yao.Na hasa kipindi cha matokeo. Mkuu vipi derby yetu na Everton?
Ukitaka kujua idadi ya chekechekea waliopo JF basi ingia jukwaa la Elimu.
Mleta mada we ni mwongo, tangu lini matokeo yakatoka jumapili(tar 5). Be serious bana