Pre GE2025 ACT wadai Dr.Mwinyi ni mzigo waliopelekewa na Magufuli. Wamepania kuurejesha Tanganyika 2025.

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 8
Uchaguzi unakaribia sarakasi zimeanza. ACT wamejificha kwenye kivuli cha serikali ya umoja na sasa wanaanza kutoka taratibu wapate gea ya kuingia wananchi ili wawape tena miaka mitano ya ulaji.
 
Naunga mkono hoja imefika muda wa kumuondoa mkoloni Tanganyika tupate uhuru.
 
Naunga mkono hoja Mwinyi utawala wake umetokana na damu za Wapemba zilizomwagwa na wale askari wa kihutu walioletwa na dhalim Magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…