ACT wajiunge CCM wawe chama kimoja

ACT wajiunge CCM wawe chama kimoja

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Hivi vyama vinafanana Falsafa zake na husaidiana kupambana na CHADEMA na kwa kuwa ni vyama vya kijamaa, kwa nini chama kidogo cha kijamaa (ACT) kisijiunge na chama Kikubwa cha kijamaa (CCM) na kuwa sehemu ya chama hicho?

Nadhani itakuwa vyema na haki ACT ikajiunga CCM.
 
Hivi vyama vinafanana Falsafa zake na husaidiana kupambana na CHADEMA na kwa kuwa ni vyama vya kijamaa, kwa nini chama kidogo cha kijamaa (ACT) kisijiunge na chama Kikubwa cha kijamaa (CCM) na kuwa sehemu ya chama hicho?

Nadhani itakuwa vyema na haki ACT ikajiunga CCM.
Ukifuatilia ACT tangu chaguzi za 2015, mwenendo wake kisiasa, utabaini ACT ni CCM-B
 
Hivi vyama vinafanana Falsafa zake na husaidiana kupambana na CHADEMA na kwa kuwa ni vyama vya kijamaa, kwa nini chama kidogo cha kijamaa (ACT) kisijiunge na chama Kikubwa cha kijamaa (CCM) na kuwa sehemu ya chama hicho?

Nadhani itakuwa vyema na haki ACT ikajiunga CCM.
Kwani lini viliachana?
 
Back
Top Bottom