Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Wanataka jimbo la Arusha?
👇
👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna kauli inetolewa na cdm kuwahusu bodaboda? Na kama ndivyo, hii tabia ya ACT kushughulikia Mambo ya cdm mani anawalipa?Wanataka jimbo la Arusha?
[emoji116]View attachment 2539436
Kusini wapi wanaishia hapo mbagala na mwandiga kigoma. Uchawi na shirki zinamponza sana huyo mtoto. Roho inamuuma kwa hii comeback ya CDM!Arusha wataisikia kwenye bomba tu wao wajikite Mikoa ya kusini na pwani sisi watuachie tupambane na ccm for the rest of the country.
Act acheni kutumika kama vichambio vya msalani.
Hivi hawajui kusoma alama za nyakati huu sio wakati wakati wa malumbano kati ya Wapinzani huu ni wakati wa kujipanga ili kumyang'anya mkoloni mweusi keki.Kusini wapi wanaishia hapo mbagala na mwandiga kigoma. Uchawi na shirki zinamponza sana huyo mtoto. Roho inamuuma kwa hii comeback ya CDM!
Haya ni matusiUkitaka kuongeza mke wa pili lazima mkubaliane na mke wako
CCM ilijifanya Kidume cha mbegu sass akina mama wanasutana kila siku