Act wazalendo: Chadema iombe radhi kwa kuwadhalilisha bodabida na watanzania kwa ujumla.

Act wazalendo: Chadema iombe radhi kwa kuwadhalilisha bodabida na watanzania kwa ujumla.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Wanataka jimbo la Arusha?
👇
20230306_172050.jpg
 
Arusha wataisikia kwenye bomba tu wao wajikite Mikoa ya kusini na pwani sisi watuachie tupambane na ccm for the rest of the country.

Act acheni kutumika kama vichambio vya msalani.
 
Arusha wataisikia kwenye bomba tu wao wajikite Mikoa ya kusini na pwani sisi watuachie tupambane na ccm for the rest of the country.

Act acheni kutumika kama vichambio vya msalani.
Kusini wapi wanaishia hapo mbagala na mwandiga kigoma. Uchawi na shirki zinamponza sana huyo mtoto. Roho inamuuma kwa hii comeback ya CDM!
 
ACT wanafanya siasa za kuivizia Chadema, hawana tofauti na fisi anayemfuata mtu akitegemea ataudondosha mkono wake aule.

Wakiambiwa Chadema kubwa zaidi yao wanakataa, wakati wanakaa ofisini kusubiri matukio yanayotokea Chadema wayatolee ufafanuzi.
 
Kusini wapi wanaishia hapo mbagala na mwandiga kigoma. Uchawi na shirki zinamponza sana huyo mtoto. Roho inamuuma kwa hii comeback ya CDM!
Hivi hawajui kusoma alama za nyakati huu sio wakati wakati wa malumbano kati ya Wapinzani huu ni wakati wa kujipanga ili kumyang'anya mkoloni mweusi keki.
 
Ukitaka kuongeza mke wa pili lazima mkubaliane na mke wako

CCM ilijifanya Kidume cha mbegu sass akina mama wanasutana kila siku
 
Hata boda boda wenyewe wanajua sio ajira
 
Back
Top Bottom