Pre GE2025 ACT Wazalendo, CUF na CHAUMA zataka Rais Samia atimize ahadi yake ya kuwepo kwa Uchaguzi mkuu wa huru na wa haki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Inaonekana kwamba bado vyama vya upinzani vina imani na mchakato wa Uchaguzi nchini

==========

Vyama vya upinzani vimeitaka Tume Huru ya Uchaguzi kuhakikisha inasimamia misingi ya haki na matakwa yote ya kisheria katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025 siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kupitia hotuba yake ya mwisho mwa mwaka kutangaza kuwa utakuwa huru na wa haki.

Your browser is not able to display this video.
 
niwahakikishie umma wa waTanzania wenzangu, kwamba uchuguzi wa kihistoria wa Oct 2025,
utakua huru zaidi, wa haki zaidi na kwakweli wa wazi zaidi.

vyama vya siasa visipange kususa au kukosa kushiriki historia hii muhimu kwa taifa letu chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan mwenyekiti wa CCM taifa 🐒
 
Wanasiasa wote wenye nia njema na nchi na wanawiwa kweli kuwakomboa wananchi wa Tanzania hamieni CHAUMA naamini mzee Rungwe yuko tayari kumpisha mtu makini anayeaminika kugombea urais wa Jamhuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…