TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
ACT Wazalendo nakiona kikichuana vikali kabisa na CHADEMA not CCM kwa safari yao kwenye chaguzi zijazo, hasa ukiangalia upande waliolalia na kuegemea.
Pamoja na kuiona ikileta challenge kuna hii sinema ya magwanda naiona inaanza kushika kasi naweza kuita 'black owls' hilo vazi nilikiona wakivaa CHADEMA but juzi na leo nawaona makada wa ACT Wazalendo wakifanyia usafi huko Nungwi Unguja - Zanzibar kwa maandalizi ya mkutano wao.
JUU: Vazila ACT kwa sasa☝🏾.
CHINI: Kulia ni Godbless Lema na vazi (black owl)
Pamoja na kuiona ikileta challenge kuna hii sinema ya magwanda naiona inaanza kushika kasi naweza kuita 'black owls' hilo vazi nilikiona wakivaa CHADEMA but juzi na leo nawaona makada wa ACT Wazalendo wakifanyia usafi huko Nungwi Unguja - Zanzibar kwa maandalizi ya mkutano wao.
JUU: Vazila ACT kwa sasa☝🏾.
CHINI: Kulia ni Godbless Lema na vazi (black owl)