Matulanya Mputa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2023
- 245
- 655
Chama cha ACT-WAZALENDO, tambueni nyie ni chama cha upinzani siyo chama rafiki cha CCM kumbukeni nyie ndiyo kipaumbele chenu kilikuwa tume huru ya uchaguzi muliamini kuwa tume huru ya uchaguzi ikipatikana basi uchaguzi utakuwa wa huru na haki.
Pia kumbukeni Chadema walikwepa mtego wa tume huru ya uchaguzi sababu walitoa hoja zao kuwa huwezi kuwa na tume huru ya uchaguzi wakati tume ya uchaguzi inabebwa na katiba, ndiymana wakataka katiba ibadilishwe au ifanyiwe marekebisho madogo.
CHADEMA waliona mbali kuwa marekebisho madogo ya katiba hasa katika ibara inayohusu tume ya uchaguzi ndyo ingekuwa msingi mzuri wa kupata tume huru ya uchaguzi.
- ACT Wazalendo yataka iundwe Tume Huru ya Uchaguzi na ndiyo Isimamie Uchaguzi wa serikali za Mitaa!
ACT-WAZALENDO hawakutaka katiba bora hawakujua katiba ndyo msingi wa kupata tume huru ya uchaguzi.
Rejea mapingamizi ya mawakili wa serikali kupitia kesi iliyopo mahakama ni, wao hoja yao kuwa ili ufanye marekebisho ya kuifanya TAMISEM isisimae uchaguzi ni kuwa MAHAKAMA HAIWEZI TOA MAAMUZI MPAKA BUNGE LIFANYE MABADILIKO YA KATIBA (wanasheria mtanipa msaada wa kisheria kuweka sawa hizo hoja).
Ni nini tafsiri yake CHADEMA waliona mbali na maamuzi yeyote ambayo yatatolewa na mahakama wasilaumiwe.
Bali ACT-WAZALENDO mumewaingiza au mumeingia mkenge ambao leo mumeshindwa kutoka badala yake mawakili wa CHADEMA, na wanaharakati wanajaribu kuwanasua lakini wakifanikiwa tutawapongeza CHADEMA.
Pia kumbusho ACT-WAZALENDO msiwe kama mumeshika dola, japo mnamikakati mizuri ila kumbukeni CCM hawatakuwa na huruma siku ya uchaguzi,
Napenda kuwasilisha naenda kula mtori kwa shishi food.
Pia kumbukeni Chadema walikwepa mtego wa tume huru ya uchaguzi sababu walitoa hoja zao kuwa huwezi kuwa na tume huru ya uchaguzi wakati tume ya uchaguzi inabebwa na katiba, ndiymana wakataka katiba ibadilishwe au ifanyiwe marekebisho madogo.
CHADEMA waliona mbali kuwa marekebisho madogo ya katiba hasa katika ibara inayohusu tume ya uchaguzi ndyo ingekuwa msingi mzuri wa kupata tume huru ya uchaguzi.
- ACT Wazalendo yataka iundwe Tume Huru ya Uchaguzi na ndiyo Isimamie Uchaguzi wa serikali za Mitaa!
ACT-WAZALENDO hawakutaka katiba bora hawakujua katiba ndyo msingi wa kupata tume huru ya uchaguzi.
Rejea mapingamizi ya mawakili wa serikali kupitia kesi iliyopo mahakama ni, wao hoja yao kuwa ili ufanye marekebisho ya kuifanya TAMISEM isisimae uchaguzi ni kuwa MAHAKAMA HAIWEZI TOA MAAMUZI MPAKA BUNGE LIFANYE MABADILIKO YA KATIBA (wanasheria mtanipa msaada wa kisheria kuweka sawa hizo hoja).
Ni nini tafsiri yake CHADEMA waliona mbali na maamuzi yeyote ambayo yatatolewa na mahakama wasilaumiwe.
Bali ACT-WAZALENDO mumewaingiza au mumeingia mkenge ambao leo mumeshindwa kutoka badala yake mawakili wa CHADEMA, na wanaharakati wanajaribu kuwanasua lakini wakifanikiwa tutawapongeza CHADEMA.
Pia kumbusho ACT-WAZALENDO msiwe kama mumeshika dola, japo mnamikakati mizuri ila kumbukeni CCM hawatakuwa na huruma siku ya uchaguzi,
Napenda kuwasilisha naenda kula mtori kwa shishi food.