LGE2024 ACT-Wazalendo kupinga matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa Mkuranga

LGE2024 ACT-Wazalendo kupinga matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa Mkuranga

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Leo, tarehe 6 Machi 2025, Wakili Mwanaisha Mndeme amewasilisha shauri la uchaguzi katika Mahakama ya Wilaya ya Mkuranga, Mkoa wa Pwani, akiwawakilisha waliokuwa wagombea wa uchaguzi wa serikali ya kijiji cha Tambani, wilayani Mkuranga, kupitia chama cha ACT Wazalendo.

Shauri hilo limewasilishwa kupinga matokeo na mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024. Kesi hiyo leo imekuja kwa ajili ya kutajwa, huku kusikilizwa rasmi kukitarajiwa kuanza tarehe 12 Machi 2025.


Soma
 
Back
Top Bottom