ACT Wazalendo kutumia Kauli mbiu ya " Ubaya Ubwela" kwenye Uchaguzi Mkuu na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

ACT Wazalendo kutumia Kauli mbiu ya " Ubaya Ubwela" kwenye Uchaguzi Mkuu na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo amesema katika kuhakikisha mshindi halali ndiye anayetangazwa kauli mbiu yao kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu itakuwa " Ubaya Ubwela"

Shaibu amesema hawatakubali yaliyotokea 2020 yajirudie

Mlale Unono 😀
 
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo amesema katika kuhakikisha mshindi halali ndiye anayetangazwa kauli mbiu yao kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu itakuwa " Ubaya Ubwela"

Shaibu amesema hawatakubali yaliyotokea 2020 yajirudie

Mlale Unono 😀
Huyu nae ni kilaza, maana kwa tume hii na wasimamizi hawa ambao ni makada wa ccm hapati hata kata moja tunzeni haya maneno yangu. Angekua na akili Kama angesusia uchaguzi
 
Back
Top Bottom