LGE2024 ACT Wazalendo mbona hawaonekani kwenye uboreshaji daftari?

LGE2024 ACT Wazalendo mbona hawaonekani kwenye uboreshaji daftari?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

nkuwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2013
Posts
4,806
Reaction score
5,347
Naomba kuuliza kwenye huu uandikishaji wa daftari la wapiga kura ACT Wazalendo mbona hawaonekani kabisa? Naona vita kubwa kati ya CHADEMA na CCM tuu?

Nimetembelea mikoa ya Geita, Kagera, Mwanza, Shinyanga, kwenye vituo vya uandikishaji vyote nimekutana na mawakala wa CCM na CHADEMA pekee.

Je, au nikiwaona mawakala wa CCM ndio hao hao wa ACT_WAZALENDO?

Rafu zinazochezwa na CCM mbona ACT Wazalendo hawasikiki wakikemea na kupambana na hawa CCM?

Thread tayari.
 
R.I.P Bernard Kamiliusi Membe kachero mbobevu!
Nipo ndani ya mada!
 
Naomba kuuliza kwenye huu uandikishaji wa daftari la wapiga kura ACT Wazalendo mbona hawaonekani kabisa? Naona vita kubwa kati ya CHADEMA na CCM tuu?

Nimetembelea mikoa ya Geita, Kagera, Mwanza, Shinyanga, kwenye vituo vya uandikishaji vyote nimekutana na mawakala wa CCM na CHADEMA pekee.

Je, au nikiwaona mawakala wa CCM ndio hao hao wa ACT_WAZALENDO?

Rafu zinazochezwa na CCM mbona ACT Wazalendo hawasikiki wakikemea na kupambana na hawa CCM?

Thread tayari.
Yes yes yes
 
Naomba kuuliza kwenye huu uandikishaji wa daftari la wapiga kura ACT Wazalendo mbona hawaonekani kabisa? Naona vita kubwa kati ya CHADEMA na CCM tuu?

Nimetembelea mikoa ya Geita, Kagera, Mwanza, Shinyanga, kwenye vituo vya uandikishaji vyote nimekutana na mawakala wa CCM na CHADEMA pekee.

Je, au nikiwaona mawakala wa CCM ndio hao hao wa ACT_WAZALENDO?

Rafu zinazochezwa na CCM mbona ACT Wazalendo hawasikiki wakikemea na kupambana na hawa CCM?

Thread tayari.
Itakuwa wanarithika kuwakikishwa na wengine
 
Hicho chama kilitengenezwa kwa maagizo ya CCM sasa na Wananchi washakifaham kuwa ni cha kitapeli

Kwahyo wao uchaguzi kama huu hawana nao muda,wapo busy kufatilia namna gani CCM ashinde na CHADEMA aanguke ili baadae Zitto apewe kitengo
 
Naomba kuuliza kwenye huu uandikishaji wa daftari la wapiga kura ACT Wazalendo mbona hawaonekani kabisa? Naona vita kubwa kati ya CHADEMA na CCM tuu?

Nimetembelea mikoa ya Geita, Kagera, Mwanza, Shinyanga, kwenye vituo vya uandikishaji vyote nimekutana na mawakala wa CCM na CHADEMA pekee.

Je, au nikiwaona mawakala wa CCM ndio hao hao wa ACT_WAZALENDO?

Rafu zinazochezwa na CCM mbona ACT Wazalendo hawasikiki wakikemea na kupambana na hawa CCM?

Thread tayari.
Ungetembelea unguja na pemba ungewakuta
 
Back
Top Bottom