ACT Wazalendo statement on exacerbation of the Israel-Palestine conflict

Safi ACT WAZALENDO . Press haina makando kando km Ile ya makamba.
Wangekuwa wameanza na yanatokea nyumbani ningeona siyo wasakatonge. Wamasai wanauawa na kuhamishwa kwa nguvu wao wamekaa kimya.
 
wAHUNI WAKUBWA NYIE.
YA BANDARI MKATUUZA MKALA NA WATESI WENU.

kumbafu kabisa hiki chama, mnakimbizwa na Zitto
Zitto ndiyo zake hizi. Anajifanyaga ni mwanasiasa wa kimataifa wakati hata nyumbani hakubaliki. Na hii ndi yeye kaandika na kuwapa watoe.
 


ACT Wazalendo stop this nosense of yours, who knows you? Who the hell are you? No one knows you in the world, stop wasting your time, you are not even noticed anywhere apart from some part of Tanzania, the Israelis or Palestines even don’t know if you exist.
 
💯
 

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Mwenyekiti wa hiki chama ni AYATOLLAH ZITTO ZUBERI KABWE
 
Charity begins at home. Tunataka statement yenu kuhusu bandari na shoriba zake. Pia mje na statement ya Ngorongoro wanafiki wakubwa nyie. Shenzi zenu.
 
Kwanza hayo mapalestina yalitusaliti wakati wa vita ya idiamini yakipigana upande wa idi amini
 
VIP kuhusu Sahara kule Morocco
 
ACT-Madalali tualieni kwanza Hamas ndugu zenu katika imaan wapewe dawa
Mbona ata kichaa watapona.

Thank you very much Act.🤣🤣🤣
 
ACT Wazalendo ili kupata muafaka wa linalotokea huku ni lazima kwanza kuutaka upande ulioanza kuwashambulia watu waliokuwa kwenye sherehe waache mashambulizi watumie njia sahihi, ACT Wazalendo isingewezekana upande ulioshambuliwa alfajiri ya Jumamosi ukae kimya.
Wapalestina hawakuanza kushambuliwa na Israel bali kikundi kidogo cha wakorofi ndio walianza mashambulizi na kuwateka raia wasio na hatia, hapa ACT Wazalendo wanaonekana kwa sababu ya udini tu na si vinginevyo.
 
Wa Arabs wakichukua bandari zetu, mpo kimya,kwa sabsbu ni binamu/islam wenzenu,
Ila wakipokea kichapo kutoka Israel, mnakuja juu, CCM hii haina balls za kukemea kinachotokea,
USA ametuma siraha Israel, Nchi za ulaya ukiacha Spain, zimesitisha kupeleka pesa kwa mamlaka ya Palestine,
Si Qatar, UAE, Egypt, anayeongea, hata Iran, ameanza kujihami kuwa hausiki kuwasidia Hamas,
Sasa Samia na ushungi wake, ajichanganye aseme kitakachowakela wakubwa(US, UK),
Tutanyimwa misaada,itabidi arejeshe tozo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…