LGE2024 ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na kitendo cha Polisi kumkamata Mwenyekiti wetu Mkoa wa Songwe, Ezekia Zambi

LGE2024 ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na kitendo cha Polisi kumkamata Mwenyekiti wetu Mkoa wa Songwe, Ezekia Zambi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
WhatsApp Image 2024-11-22 at 15.54.26_aa7233ee.jpg

TAARIFA KUTOKA ACT WAZALENDO
Kwa masikitiko makubwa, tumepokea taarifa ya kukamatwa na Polisi kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo wa Mkoa wa Songwe leo tarehe 22, November, Ndugu Ezekia Elia Zambi bila sababu za msingi zinazojulikana.

Pia soma: LGE2024 - Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja, akamatwa na Polisi

ACT Wazalendo Vwawa iliruhusu CHADEMA kutumia ratiba yake kufanya mkutano wa Mwenyekiti Freeman Mbowe lakini polisi wakazuia. Sasa polisi wamemtia nguvuni Mwenyekiti wa Mkoa Ndugu Zambi.

TAARIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
 
MIMI NINA MASWALI KADHAA KWA ACT WAZALENDO NA POLISI:
1. ACT mna maana gani kulaani mwenyekiti wenu tena wa mkoa tu kukamatwa wakati wamekamatwa pamoja na viongozi wa CHADEMA tena akiwemo M/Kiti wa taifa (CHADEMA) mtu mzito sana, Mh Freeman Mbowe na wenzake ambaye nyie wenyewe mlimkaribisha kwenye mkutano wenu wa kampeni? Mbona mmemgeuka na kumwitia polisi tena vichakani/porini..????

2. Na je, huyu Mh. Freeman Mbowe na wenzake wa CHADEMA alijumuika nanyi kwenye mkutano wa kampeni zetu kwa utaratibu upi?

3. Waliingilia na kuvamia mkutano wenu au mliwapa mwaliko maalumu...?

4. Kanuni za uchaguzi huu zinasemaje?

5. Je, zinakataza vyama viwili kushea jukwaa moja kupiga kampeni iwapo vimepatana/kukubaliana..?

6. Hawa polisi imekuwaje hata kuwakamata viongozi hawa?

7. Je, ACT WAZALENDO mlivamiwa na CHADEMA na kutoa taarifa polisi kuwa mkutano wenu umeingiliwa na CHADEMA, na huvyo waje ku - intervene ili kulinda amani..?

8. Lakini mbona taarifa zinasema wanewavizia porini tena kwa kuwavamia kama majambazi yavamiavyo raia wema..?

##Kuna nini kati ya Polisi/CCM/ACT Wazalendo vs CHADEMA kwenye hili...???
 
Ikiwa wamekiuka ratiba ambayo tayari jeshi la polisi nchini wanayo, wanastahili kuchukuliwa hatua kama ambavyo polisi wamafanya.

kama kuna makubaliano ya kubadili ratiba kati ya Chadema na ACT wazalendo, bas jeshi la polisi nchini lilipaswa kufahamishwa siku tatu kabla.

Kinyume na hapo ni vurugu na fujo ambazo zinafaa kuchukuliwa kama uhochezi 🐒
 
Ikiwa wamekiuka ratiba ambayo tayari jeshi la polisi nchini wanayo, wanastahili kuchukuliwa hatua kama ambavyo polisi wamafanya.

kama kuna makubaliano ya kubadili ratiba kati ya Chadema na ACT wazalendo, bas jeshi la polisi nchini lilipaswa kufahamishwa siku tatu kabla.

Kinyume na hapo ni vurugu na fujo ambazo zinafaa kuchukuliwa kama uhochezi 🐒
🚮
Kwa mujibu wa kifungu gani cha sheria?
Dogo, wacha uzushi, uchawa hapa siyo mahali pake
 
🚮
Kwa mujibu wa kifungu gani cha sheria?
Dogo, wacha uzushi, uchawa hapa siyo mahali pake
hatua zitaendelea kuchukuliwa kwa virungu na makwenzi mpaka.akaifi hao watakapostaarabika..

hatuwezi kufanya mambo ya kijamii bila utaratibu. Lazima utaratibu uzingatiwe ili kuwapa fursa wenye shughuli zao wafanye hivyo bila bugdha.

Fujo na vurugu fanyeni na familia zenu huko majumbani mwenu 🐒
 
MIMI NINA MASWALI KADHAA KWA ACT WAZALENDO NA POLISI:
1. ACT mna maana gani kulaani mwenyekiti wenu tena wa mkoa tu kukamatwa wakati wamekamatwa pamoja na viongozi wa CHADEMA tena akiwemo M/Kiti wa taifa (CHADEMA) mtu mzito sana, Mh Freeman Mbowe na wenzake ambaye nyie wenyewe mlimkaribisha kwenye mkutano wenu wa kampeni? Mbona mmemgeuka na kumwitia polisi tena vichakani/porini..????

2. Na je, huyu Mh. Freeman Mbowe na wenzake wa CHADEMA alijumuika nanyi kwenye mkutano wa kampeni zetu kwa utaratibu upi?

3. Waliingilia na kuvamia mkutano wenu au mliwapa mwaliko maalumu...?

4. Kanuni za uchaguzi huu zinasemaje?

5. Je, zinakataza vyama viwili kushea jukwaa moja kupiga kampeni iwapo vimepatana/kukubaliana..?

6. Hawa polisi imekuwaje hata kuwakamata viongozi hawa?

7. Je, ACT WAZALENDO mlivamiwa na CHADEMA na kutoa taarifa polisi kuwa mkutano wenu umeingiliwa na CHADEMA, na huvyo waje ku - intervene ili kulinda amani..?

8. Lakini mbona taarifa zinasema wanewavizia porini tena kwa kuwavamia kama majambazi yavamiavyo raia wema..?

##Kuna nini kati ya Polisi/CCM/ACT Wazalendo vs CHADEMA kwenye hili...???
Mbeya, kilimanjaro, Arusha, na Rukwa hiyo mikoa ni ngome za sapinzani sasa Viongozi kama wakuu wa wilaya wakuu wa mikoa, wabunge wakuu wa POLKSi wote matumbo moto kuhakikisha wanavunja hizo ngome za upinzani mikoa hiyo kila uchaguzi lazima yatokee maafa na mamia ya watu kuwekwa ndani maeneo mengkne ni Zanzibar. Ikifika kipindi cha uchaguzi wowote lazima maafa na mamia kufungwa.CCM inakata Roho mdogo mdogo, Raisi kikwete gwiji wa siasa Z Tanzania alishawaambia CCM, mnapomia POLISI wawajibu wapinzani mnaongeza chuki kwa wananchi, CCM wanatakiwa wajizatiti wenyewe, hivi sasa nikipindi cha Kampeni POLISI kazi yao ni kuzuoa vurugu lakini wao ndiyo wanzilishi wavurugu. CCM haibebeki higo mikoa niliyo itaja pamoja na Zanzibar. Mtawaumiza watu Bure bila sababu, watu wenyewe mmeshawaengua kibao wamebaki 30% na hata hao pia mnawaogopa.
 
Kazi kweli kweli!
Hata hao CCM B wanafanyuwa figisu kama hizo?
CCM haina mjomba!
 
Kwendeni huko, nyie ACT ni chama ambacho hakina mchango wowote wa maana kwa Taifa
 
Back
Top Bottom