ACT waweke maelezo vizuri. Upande gani wanafikiri unafaidi zaidi hadi kupelekea wao (ACT) kuja na tamko hili.
Kwa hali ilivyo sasa, Zanzibar wanatumia pesa nyingi kuliko kiwango kilochopendekezwa na katiba/sheria.
*Madaraja ya juu (flyovers) yanajengwa kila pembe ya Zanzibar.
*Viwanja vya ndege vya kimataifa vinajengwa.
*Viwanja vya mpira vya kisiasa.
*Kila shule Zanzibar inabomolewa na kujengwa ya ghorofa.
Yote haya na mengine mengi yanafanywa kwa kodi ipi inayokusanywa huko Zanzibar? Samia anatuibia.