LGE2024 ACT Wazalendo wamsimamisha kazi kiongozi aliyesifia na kupongeza mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 ACT Wazalendo wamsimamisha kazi kiongozi aliyesifia na kupongeza mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Haya jamani mliokuwa mnasema kuwa ACT Wazalendo ni CCM B mna salamu zenu hapa.

Nimeona hivi karibuni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Jimbo la Momba, Himid Yaled Siwale amesimamishwa uongozi kutokana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, akipongeza kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikwenda vizuri,

Kwenye barua iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu, Kiongozi huyo wa Jimbo la Momba amepewa siku tano ajieleze kwa nini asiondolewe kwenye nafasi yake ya uenyekiti moja kwa moja kwa kukiuka msimamo wa chama hicho.

Soma pia: Songwe: Ado Shaibu wa ACT Wazalendo atangaza kufuta uanachama viongozi wote wasaliti ndani ya chama hicho

Ikumbukwe kuwa tarehe 29 Novemba, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu aliweka bayana kuwa chama hicho hakikubaliani na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 kwa sababu mchakato mzima wa uchaguzi huo ulitawaliwa na wizi wa kura, kura bandia na vitendo vingine vilivyokusudia kukibeba Chama cha Mapinduzi (CCM).

ACT .png

Source Jambo TV
 
Yani mlipanga jambo mkiratibu hatma yake ili muipaishe ACT kwa pesa haramu ya ccm ! Wewe panya wa act abdul nondo uliyetekeshwa na ccm toka mafichoni otherwise wakuuwe kweli tujue act na ccm hawajacheza hii tamthiliya!
 
Wakuu,

Haya jamani mliokuwa mnasema kuwa ACT Wazalendo ni CCM B mna salamu zenu hapa.

Nimeona hivi karibuni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Jimbo la Momba, Himid Yaled Siwale amesimamishwa uongozi kutokana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, akipongeza kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikwenda vizuri,

Kwenye barua iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu, Kiongozi huyo wa Jimbo la Momba amepewa siku tano ajieleze kwa nini asiondolewe kwenye nafasi yake ya uenyekiti moja kwa moja kwa kukiuka msimamo wa chama hicho.

Soma pia: Songwe: Ado Shaibu wa ACT Wazalendo atangaza kufuta uanachama viongozi wote wasaliti ndani ya chama hicho

Ikumbukwe kuwa tarehe 29 Novemba, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu aliweka bayana kuwa chama hicho hakikubaliani na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 kwa sababu mchakato mzima wa uchaguzi huo ulitawaliwa na wizi wa kura, kura bandia na vitendo vingine vilivyokusudia kukibeba Chama cha Mapinduzi (CCM).


Source Jambo TV
Maigizo kwa kawaida yanabeba maudhui tofauti,hilo hali halalishi kuwa wao ni tofauti na wanavyojulikana yawezakuwa yote ni maigizo ili kujaribu kutuzuliza hasira kwa upande A ama tu kujiosha wasifutike sambamba na upande A.Hata yanayoitwa ni ya wasiojulikana kwa upande B.Yaweza kuwa sehemu ya maigizo kutuliza maumivu ya upanda Z.Kwa fitna za kitanzania ikiwezekana usimwamini baba,mama wala mtoto.Jiamini peke yako.
 
Wakuu,

Haya jamani mliokuwa mnasema kuwa ACT Wazalendo ni CCM B mna salamu zenu hapa.

Nimeona hivi karibuni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Jimbo la Momba, Himid Yaled Siwale amesimamishwa uongozi kutokana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, akipongeza kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikwenda vizuri,

Kwenye barua iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu, Kiongozi huyo wa Jimbo la Momba amepewa siku tano ajieleze kwa nini asiondolewe kwenye nafasi yake ya uenyekiti moja kwa moja kwa kukiuka msimamo wa chama hicho.

Soma pia: Songwe: Ado Shaibu wa ACT Wazalendo atangaza kufuta uanachama viongozi wote wasaliti ndani ya chama hicho

Ikumbukwe kuwa tarehe 29 Novemba, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu aliweka bayana kuwa chama hicho hakikubaliani na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 kwa sababu mchakato mzima wa uchaguzi huo ulitawaliwa na wizi wa kura, kura bandia na vitendo vingine vilivyokusudia kukibeba Chama cha Mapinduzi (CCM).


Source Jambo TV
mtu mwenyewe anaonekana hata la saba hajafik, what do you expect of him?
 
Ikumbukwe kuwa tarehe 29 Novemba, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu aliweka bayana kuwa chama hicho hakikubaliani na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024
Hawa nao wangeweka chapa ya jogoo au tetea kwenye bendera yao
 
Wakuu,

Haya jamani mliokuwa mnasema kuwa ACT Wazalendo ni CCM B mna salamu zenu hapa.

Nimeona hivi karibuni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Jimbo la Momba, Himid Yaled Siwale amesimamishwa uongozi kutokana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, akipongeza kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikwenda vizuri,

Kwenye barua iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu, Kiongozi huyo wa Jimbo la Momba amepewa siku tano ajieleze kwa nini asiondolewe kwenye nafasi yake ya uenyekiti moja kwa moja kwa kukiuka msimamo wa chama hicho.

Soma pia: Songwe: Ado Shaibu wa ACT Wazalendo atangaza kufuta uanachama viongozi wote wasaliti ndani ya chama hicho

Ikumbukwe kuwa tarehe 29 Novemba, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu aliweka bayana kuwa chama hicho hakikubaliani na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 kwa sababu mchakato mzima wa uchaguzi huo ulitawaliwa na wizi wa kura, kura bandia na vitendo vingine vilivyokusudia kukibeba Chama cha Mapinduzi (CCM).


Source Jambo TV
ukweli mchungu sana ndrugu zango

ni vizuri kufanya mazoezi ya kuupokea au kuskiza ukweli 🐒 🐒
 
Wakuu,

Haya jamani mliokuwa mnasema kuwa ACT Wazalendo ni CCM B mna salamu zenu hapa.

Nimeona hivi karibuni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Jimbo la Momba, Himid Yaled Siwale amesimamishwa uongozi kutokana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, akipongeza kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikwenda vizuri,

Kwenye barua iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu, Kiongozi huyo wa Jimbo la Momba amepewa siku tano ajieleze kwa nini asiondolewe kwenye nafasi yake ya uenyekiti moja kwa moja kwa kukiuka msimamo wa chama hicho.

Soma pia: Songwe: Ado Shaibu wa ACT Wazalendo atangaza kufuta uanachama viongozi wote wasaliti ndani ya chama hicho

Ikumbukwe kuwa tarehe 29 Novemba, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu aliweka bayana kuwa chama hicho hakikubaliani na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 kwa sababu mchakato mzima wa uchaguzi huo ulitawaliwa na wizi wa kura, kura bandia na vitendo vingine vilivyokusudia kukibeba Chama cha Mapinduzi (CCM).


Source Jambo TV
Aadhibiwe kichama lakini sheria za kipuuzi eti mtu akiwa na msimamo tofauti na chama apoteze nafasi yake wakati alichaguliwa na Wananchi haikubaliki.

Alifukuzwa aende mahakamani,hakuchaguliwa na ACT Wazalendo Bali wananchi.
 
Wakuu,

Haya jamani mliokuwa mnasema kuwa ACT Wazalendo ni CCM B mna salamu zenu hapa.

Nimeona hivi karibuni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Jimbo la Momba, Himid Yaled Siwale amesimamishwa uongozi kutokana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, akipongeza kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikwenda vizuri,

Kwenye barua iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu, Kiongozi huyo wa Jimbo la Momba amepewa siku tano ajieleze kwa nini asiondolewe kwenye nafasi yake ya uenyekiti moja kwa moja kwa kukiuka msimamo wa chama hicho.

Soma pia: Songwe: Ado Shaibu wa ACT Wazalendo atangaza kufuta uanachama viongozi wote wasaliti ndani ya chama hicho

Ikumbukwe kuwa tarehe 29 Novemba, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu aliweka bayana kuwa chama hicho hakikubaliani na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 kwa sababu mchakato mzima wa uchaguzi huo ulitawaliwa na wizi wa kura, kura bandia na vitendo vingine vilivyokusudia kukibeba Chama cha Mapinduzi (CCM).


Source Jambo TV
Ina maana ndani ya ACT hakuna kutofautiana kifikra, yaani mnakubaliana na fikra za kiongozi japo si sahihi. Hapo hakuna demokrasia bali ni udikteta tu
 
Back
Top Bottom