ACT - Wazalendo wapiga ‘U Turn’, nao wataka Katiba Mpya Kwanza

ACT - Wazalendo wapiga ‘U Turn’, nao wataka Katiba Mpya Kwanza

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
ACT hakina msimamo kinaenda na upepo kinaangalia vyama vikubwa kama Chadema vinataka nini. Mwanzo walikuwa na kauli mbiu yao ya TUMEHURU KUELEKEA KATIBA MPYA, leo wanasema KATIBA MPYA NI SASA.

Tusiwabeze ACT bado ni wachanga hawajui kwenye siasa ili uaminiwe unahitaji consistency. Waendelee kujifunza kwa Chadema yenye msimamo usioyumba.

79E212B2-B57A-47E7-9D67-1C9279E48655.jpeg
 
Hiyo banner mbona inasomeka;

"TUME HURU - KUELEKEA KATIBA MPYA.."

Is this a U - TURN?

In my opinion, bado huu ndio msimamo wa ACT - Wazalendo kama ilivyokuwa mwanzo..

Wao siku zote hoja yao imekuwa wanataka TUME HURU YA UCHAGUZI kwanza KUELEKEA uchaguzi mkuu wa 2025 na kisha ndiyo KATIBA MPYA iandikwe...

CHADEMA, wao ni KATIBA MPYA YA WANANCHI kwanza kabla ya uchanguzi mkuu wa 2025 na hayo mengine ya vijitaasisi vidovidogo ikiwe NEC nk zizaliwe na katiba hiyo mpya..

Ndo kusema, wote CHADEMA na ACT Wazalendo wanaelekea kwenye destination moja but using different routes...!

Kwa mtazamo wangu, ACT WAZALENDO hawajapinda. Bado wana msimamo wao uleule...!
 
Wameshaona wale waliokuwa wanawategemea kama kikwazo cha katiba wamekwama ku push agenda yao !hivyo bora waungane na wenzao kwa shingo upande!!

ACT hakina msimamo kinaenda na upepo kinaangalia vyama vikubwa kama Chadema vinataka nini. Mwanzo walikuwa na kauli mbiu yao ya TUMEHURU KUELEKEA KATIBA MPYA, leo wanasema KATIBA MPYA NI SASA.

Tusiwabeze ACT bado ni wachanga hawajui kwenye siasa ili uaminiwe unahitaji consistency. Waendelee kujifunza kwa Chadema yenye msimamo usioyumba.

Siku anawaahidi akina zittow ajira ya miaka 9 neno lilimtoka ya kuwa mchakato wa KATIBA mpya utaanza 2026.

Alichosahau ni kuwa alikuwa anataja mwaka wa Kupatikana KITABU kipya 2026 Ili UNABII utimie.

Muda wa kupatikana KATIBA mpya umefika, Tutaongea wote lugha moja, Tunawahitaji pia ACT na vyama vingine Kwa kuwa Katiba mpya ni ya Watanzania wote. Amen
 
Siku anawaahidi akina zittow ajira ya miaka 9 neno lilimtoka ya kuwa mchakato wa KATIBA mpya utaanza 2026.

Alichosahau ni kuwa alikuwa anataja mwaka wa Kupatikana KITABU kipya 2026 Ili UNABII utimie.

Muda wa kupatikana KATIBA mpya umefika, Tutaongea wote lugha moja, Tunawahitaji pia ACT na vyama vingine Kwa kuwa Katiba mpya ni ya Watanzania wote. Amen
Alisema hivyo katika context ya uwepo wake madarakani WAKATI HUO Baada ya UCHAGUZI wa 2025!!Sasa kama UCHAGUZI hautokuwepo mwaka HUO sijui yeye atakuwa wapi!!!
 
Hiyo banner mbona inasomeka;

"TUME HURU - KUELEKEA KATIBA MPYA.."

Is this a U - TURN?

In my opinion, bado huu ndio msimamo wa ACT - Wazalendo kama ilivyokuwa mwanzo..

Wao siku zote hoja yao imekuwa wanataka TUME HURU YA UCHAGUZI kwanza KUELEKEA uchaguzi mkuu wa 2025 na kisha ndiyo KATIBA MPYA iandikwe...

CHADEMA, wao ni KATIBA MPYA YA WANANCHI kwanza kabla ya uchanguzi mkuu wa 2025 na hayo mengine ya vijitaasisi vidovidogo ikiwe NEC nk zizaliwe na katiba hiyo mpya..

Ndo kusema, wote CHADEMA na ACT Wazalendo wanaelekea kwenye destination moja but using different routes...!

Kwa mtazamo wangu, ACT WAZALENDO hawajapinda. Bado wana msimamo wao uleule...!
Zito na kundi lake wanawaza uchaguzi na kugawana vyeo.

Bt ukifuata matakwa ya wananchi juu ya Kupata KATIBA mpya ndo izaliwe TUME huru ya uchaguzi, tafsiri hiyo ni kuwa wako radhi UCHAGUZI usiwepo Hadi kwanza turekebishe mifumo. Na ndipo tunapoekekea Kwa maana SANDUKU la Kura haliheshimiwi tena na manyang'au.

Bt ni IMANI yangu itakuwa ndani ya miaka 2 na nusu. Endapo tu Rasimu chini ya Warioba itarudishwa mezani. Amen
 
Alisema hivyo katika context ya uwepo wake madarakani WAKATI HUO Baada ya UCHAGUZI wa 2025!!Sasa kama UCHAGUZI hautokuwepo mwaka HUO sijui yeye atakuwa wapi!!!
Inatosha akihakikisha tunapata kitabu kipya chini ya uongozi wake, ataandikwa ktk vitabu vya kumbukumbu Kwa heshima kubwa. Tutamsamehe Kwa mapungufu ktk utawala wake. Amen
 
ACT hakina msimamo kinaenda na upepo kinaangalia vyama vikubwa kama Chadema vinataka nini. Mwanzo walikuwa na kauli mbiu yao ya TUMEHURU KUELEKEA KATIBA MPYA, leo wanasema KATIBA MPYA NI SASA.

Tusiwabeze ACT bado ni wachanga hawajui kwenye siasa ili uaminiwe unahitaji consistency. Waendelee kujifunza kwa Chadema yenye msimamo usioyumba.

Hawa wanafanya hivi kwa maelekezo maalum toka ndani kabisa
 
Hiyo banner mbona inasomeka;

"TUME HURU - KUELEKEA KATIBA MPYA.."

Is this a U - TURN?

In my opinion, bado huu ndio msimamo wa ACT - Wazalendo kama ilivyokuwa mwanzo..

Wao siku zote hoja yao imekuwa wanataka TUME HURU YA UCHAGUZI kwanza KUELEKEA uchaguzi mkuu wa 2025 na kisha ndiyo KATIBA MPYA iandikwe...

CHADEMA, wao ni KATIBA MPYA YA WANANCHI kwanza kabla ya uchanguzi mkuu wa 2025 na hayo mengine ya vijitaasisi vidovidogo ikiwe NEC nk zizaliwe na katiba hiyo mpya..

Ndo kusema, wote CHADEMA na ACT Wazalendo wanaelekea kwenye destination moja but using different routes...!

Kwa mtazamo wangu, ACT WAZALENDO hawajapinda. Bado wana msimamo wao uleule...!
Kiongozi wetu wa chama.. Mhimili wetu
 
Hawa wanafanya hivi kwa maelekezo maalum toka ndani kabisa
Ila hofu yangu wale wanahila isije kuwa wanatumia mbinu ya kuchelewesha kupatikanika kwayo kupitia hiki kinachoendelea hivi Sasa🤔
 
Hawa wanafanya hivi kwa maelekezo maalum toka ndani kabisa
Huku nje pressure ni kubwa sana, itawarudisha watakaa kwenye mstari. Nia OVU mwisho umefika. MAOMBI yanaendelea Kwa bidii sana Mungu aingilie kati.
 
Hiyo banner mbona inasomeka;

"TUME HURU - KUELEKEA KATIBA MPYA.."

Is this a U - TURN?

In my opinion, bado huu ndio msimamo wa ACT - Wazalendo kama ilivyokuwa mwanzo..

Wao siku zote hoja yao imekuwa wanataka TUME HURU YA UCHAGUZI kwanza KUELEKEA uchaguzi mkuu wa 2025 na kisha ndiyo KATIBA MPYA iandikwe...

CHADEMA, wao ni KATIBA MPYA YA WANANCHI kwanza kabla ya uchanguzi mkuu wa 2025 na hayo mengine ya vijitaasisi vidovidogo ikiwe NEC nk zizaliwe na katiba hiyo mpya..

Ndo kusema, wote CHADEMA na ACT Wazalendo wanaelekea kwenye destination moja but using different routes...!

Kwa mtazamo wangu, ACT WAZALENDO hawajapinda. Bado wana msimamo wao uleule...!
Hiyo ni banner kabla ya u turn
 
Back
Top Bottom