Samia kakiri kuwa kauwa, Ila kauwa watu wasio na umuhimu kwake (kule Kizimkazi wanaitwa sisimizi)
Kila la heri kwakeSamia kakiri kuwa kauwa, Ila kauwa watu wasio na umuhimu kwake (kule Kizimkazi wanaitwa sisimizi)
Washikilie hapahapo....kizimkazi anakaribia kutema bungo..Wanawake wamekerwa na Mama Samia.
..Sijui kwanini hawachukulii hatua watekaji na wauwaji.
..Hata CCM wenzake wamemchoka ndio maana katika hili la utekaji na mauaji hawamtetei.
View: https://m.youtube.com/watch?v=FgW9_baDWBM&pp=ygULQWN0ICsgU2FtaWE%3D
CC ChoiceVariable Lucas Mwashambwa..Wanawake wamekerwa na Mama Samia.
..Sijui kwanini hawachukulii hatua watekaji na wauwaji.
..Hata CCM wenzake wamemchoka ndio maana katika hili la utekaji na mauaji hawamtetei.
View: https://m.youtube.com/watch?v=FgW9_baDWBM&pp=ygULQWN0ICsgU2FtaWE%3D
Washikilie hapahapo....kizimkazi anakaribia kutema bungo
UpuuziWanawake wamekerwa na Mama Samia. Sijui kwanini hawachukulii hatua watekaji na wauwaji.
Hata CCM wenzake wamemchoka ndio maana katika hili la utekaji na mauaji hawamtetei.
View: https://m.youtube.com/watch?v=FgW9_baDWBM&pp=ygULQWN0ICsgU2FtaWE%3D
Hapa sasa tunazungumza lugha moja. CCM siyo chama cha siasa tena bali ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kendelea kutawala.Wanawake wamekerwa na Mama Samia. Sijui kwanini hawachukulii hatua watekaji na wauwaji.
Hata CCM wenzake wamemchoka ndio maana katika hili la utekaji na mauaji hawamtetei.
View: https://m.youtube.com/watch?v=FgW9_baDWBM&pp=ygULQWN0ICsgU2FtaWE%3D
Mzee wetu Ally Kibao kuitwa sisimizi imeniuma sana...utetezi kwamba labda umeuwa sisimizi ulikuwa wakipumbavu mno.
Hakika huyo Mama, asuburi hukumu, huko mbinguni ya kuuwa raia wasio na hatiaš³Mzee wetu Ally Kibao kuitwa sisimizi imeniuma sana.
Ccmulism ni KAZI sanaHakika huyo Mama, asuburi hukumu, huko mbinguni ya kuuwa raia wasio na hatiaš³
Naunga mkono hoja Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika WeweWanawake wamekerwa na Mama Samia. Sijui kwanini hawachukulii hatua watekaji na wauwaji.
Hata CCM wenzake wamemchoka ndio maana katika hili la utekaji na mauaji hawamtetei.
View: https://m.youtube.com/watch?v=FgW9_baDWBM&pp=ygULQWN0ICsgU2FtaWE%3D
Inaelekea ACT Wazalendo ina damu mpya ambayo imeenza kuwa na sauti. Mwakilishi wao katika maziko ya Marehemu Kibao nae aliongea maneno makali sana kwa serikali. Inawezekana wanataka kujitenga na ile dhana ya uCCM B hasa kwenye masuala yanayohusu Bara.Wanawake wamekerwa na Mama Samia. Sijui kwanini hawachukulii hatua watekaji na wauwaji.
Hata CCM wenzake wamemchoka ndio maana katika hili la utekaji na mauaji hawamtetei.
View: https://m.youtube.com/watch?v=FgW9_baDWBM&pp=ygULQWN0ICsgU2FtaWE%3D