Zanzibar 2020 ACT-Wazalendo: ZEC imejuaje idadi ya wapiga kura ya mapema kabla ya muda wa kupeleka maombi kuisha?

Zanzibar 2020 ACT-Wazalendo: ZEC imejuaje idadi ya wapiga kura ya mapema kabla ya muda wa kupeleka maombi kuisha?

Rahma Salum

Member
Joined
Sep 7, 2020
Posts
30
Reaction score
59
Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari, Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Said Shaaban ameeleza kuwa chama chao hakijaridhishwa na majibu yaliyotolewa na ZEC kufuatia barua waliyoandika Agosti 13.

ACT Wazalendo imeonesha kutoridhishwa na utaratibu uliowekwa na ZEC juu ya kura ya mapema, hivyo kuitaka Tume kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kulinda usiri wa kura hizo.

Vilevile, ACT Wazalendo inaitaka ZEC kuweka wazi ikiwa mawakala wa vyama na Wagombea wataruhusiwa kuwepo usiku wa kuamkia tarehe 28 Oktoba, 2020.

Aidha, kufuatia kauli ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi aliyonukuliwa akisema wanatarajia kuwepo kwa wapiga kura ya mapema 7,000, ACT Wazalrndo wanaitaka ZEC itoe ufafanuzi ni vipi wameijua idadi hiyo ikiwa kwa mujibu wa Tume mwisho wa kupeleka maombi ni Oktoba 15.

Kifungu cha 82 cha Sheria ya Uchaguzi ya 2018 kinaeleza kuwa Tume itaweka utaratibu wa kura ya mapema ambao utayafanyika siku moja kabla ya tarehe ya Uchaguzi au siku nyingine yoyote kama itakavyoamuliwa na Tume. Zoezi hilo linatarajiwa kufanyika Zanzibar Oktoba 27 na litahusisha makundi yote ya watendaji wa usimamizi wa Uchaguzi Mkuu.
 
Tupeni na makalio basi kama mnatupenda sana. Wanaume wazima mna hashuo kama akina nani hii.
 
Nadhani kuna kosa la kiufundi lilifanyika. Pamoja na kuwa na mitazamo tofauti na CHADEMA lkn kwa maslahi ya umma. Seif ilipaswa angejiunga na CHADEMA. Nguvu ingekuwa kubwa sana
 
Dah kwa hio kutakuwa na wanajeshi 7000 ZNZ wakati wa uchaguzi
 
Kuna vikosi vya FFU kutoka bara vishaanza kuingia Zenji toka muda, hizo ndo kura za mapema kwenye koloni letu hilo kisiwani.
Hairuhusiwi kupiga kura mpaka ulipojiandikishia-Tume ya Taifa
Kuna vikosi vya FFU kutoka bara vishaanza kuingia Zenji toka muda, hizo ndo kura za mapema kwenye koloni letu hilo kisiwani.
a
 
Wazanzibar asili yao ni Tanganyika , wawe wapole tu, sisi ni wamoja
Mbona watanganyika wanatupenda sana wanaume wa Zenji?

Si munajuwa shughuli yetu kwa machoko , Au watanganyika wanaupenda huu mchezo wa pwani sikuhizi?

Haya wacha tuwape mafunzo ,na mijitu ya bara ilivyo nona ,wana mizigo wake kwa waume, tutawalamba tu.

Maana munapendwa kusuguliwa kwa mafuta ya karafuu migongoni kwenu.
 
Mb

Mbona watanganyika wanatupenda sana wanaume wa Zenji?

Si munajuwa shughuli yetu kwa machoko , Au watanganyika wanaupenda huu mchezo wa pwani sikuhizi?

Haya wacha tuwape mafunzo ,na mijitu ya bara ilivyo nona ,wana mizigo wake kwa waume, tutawalamba tu.

Maana munapendwa kusuguliwa kwa mafuta ya karafuu migongoni kwenu.
Mimi na Magufuli tunapenda sana vyombo vyenu vile vyeupeeeeee vilivyoachwa na mwarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom