Yawezekana wakawa ni wakimya, lakini sio wapoleMiss zomboko
Beth
Niseme tu naunga mkono hoja.
Kichenchede...ππShunie
Mkuu, ebu naomba unitumie buku nijiunge kifurushi cha skonga....π€Έπ€ΈMimi binafsi ni huyu #ushimen
Uncle hiyo cha upole anaielewa mwenyewe niliyemtagMwali, naona haujaweza kutofautisha upole na utulivu...π
Anafaham mpwa...πUncle hiyo cha upole anaielewa mwenyewe niliyemtag
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shunie
Kumbe ni Smart ni pisi Kali !Toka nijiunge jamiiforum huyu smart911 Yuko peace Sana sijawahi kuona kabishana na mtu au kuleteana lomoni humu ndani.mtaje wa kwako
Toka nijiunge jamiiforum huyu smart911 Yuko peace Sana sijawahi kuona kabishana na mtu au kuleteana lomoni humu ndani.mtaje wa kwako
Ahsante Sana..Shem lake.@mkwepu jr huyu mkuu ni mzee wa kimya kimya. Shem wangu @yna2 unazo busara sana na ni mchangiaji mzuri.
Hahaa limevimba ndiiiiAhsante Sana mpendwa..[emoji4]..bichwa limeviimbaa..[emoji847][emoji7]