W Waambi JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 737 Reaction score 81 Jan 14, 2013 #1 WanaJF Naomba kujua ada ya chuo kikuu huria kwa udergraduates.
Mpita Njia JF-Expert Member Joined Mar 3, 2008 Posts 6,997 Reaction score 1,172 Jan 14, 2013 #2 Sasa umejuaje kuwa inatisha kama huijui?
W Waambi JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 737 Reaction score 81 Jan 14, 2013 Thread starter #3 Nawavutia kufungua hiyo thread lakini kweli siijui
Mujuni2 Senior Member Joined Jun 11, 2008 Posts 142 Reaction score 3 Jan 14, 2013 #4 Tembelea website yao kila kitu kinajieleza www.out.ac.tz
M Majutokk Member Joined Oct 29, 2012 Posts 92 Reaction score 23 Jan 14, 2013 #5 Acha akili ya kuku wewe
Nyakageni JF-Expert Member Joined Feb 1, 2011 Posts 15,045 Reaction score 5,108 Jan 14, 2013 #6 Ni kama laki 4 kwa mwaka na unalipa kwa awamu
W Waambi JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 737 Reaction score 81 Jan 14, 2013 Thread starter #7 Asante sana
Idimi JF-Expert Member Joined Mar 18, 2007 Posts 15,328 Reaction score 11,192 Jan 14, 2013 #8 ukipita katika website yao utaona ada zimewekwa wazi. By the way umeweka masuala ya elimu jukwaa la siasa! Nadhani Buchanan ataiona hii na kuiweka panapostahili. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
ukipita katika website yao utaona ada zimewekwa wazi. By the way umeweka masuala ya elimu jukwaa la siasa! Nadhani Buchanan ataiona hii na kuiweka panapostahili.
NZURI PESA JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 5,958 Reaction score 2,954 Jan 14, 2013 #9 Mtu mzima haitwi muongo jipe jina mwenyeeewe!
I Islam005 JF-Expert Member Joined Nov 1, 2008 Posts 3,354 Reaction score 3,623 Jan 15, 2013 #10 Nyakageni said: Ni kama laki 4 kwa mwaka na unalipa kwa awamu Click to expand... hiyo ni ada ya degree au secondary?
Nyakageni said: Ni kama laki 4 kwa mwaka na unalipa kwa awamu Click to expand... hiyo ni ada ya degree au secondary?