vickboy.com
Member
- Jul 29, 2013
- 85
- 23
Habarin wanaJF.
Mwenzenu nimechaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu(diploma) katika chuo cha Mpwapwa lakini kutokana na kupanda kwa ada naona kama ndoto ya kusoma inapotea kutokana na hali mbaya kiuchumi niliyonayo maana sina msaada mwingine zaid ya kujisimamia mwenyewe.
Naombeni ushauri wenu maana ni fursa pekee niliyonayo ya kusoma.
Mwenzenu nimechaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu(diploma) katika chuo cha Mpwapwa lakini kutokana na kupanda kwa ada naona kama ndoto ya kusoma inapotea kutokana na hali mbaya kiuchumi niliyonayo maana sina msaada mwingine zaid ya kujisimamia mwenyewe.
Naombeni ushauri wenu maana ni fursa pekee niliyonayo ya kusoma.