Ada ya mafunzo ya ualimu stashahada ya juu na stashahada ya kawaida ya shule ya msingi

vickboy.com

Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
85
Reaction score
23
Ndg wana jf naomba kujuzwa kama kuna tofauti ya karo kwa mafunzo hayo maana nacte waliandika gharama ya mafunzo ya stashahada ya juu ni laki 6 but kuhusu mafunzo mengine hawajasema kuwa kiasi gan , naomba kufahamshwa kama kuna tofauti na kiasi gan kwa mafunzo kama stashahada ya kawaida ya elimu ya awali.
 
naomba kuuliza hv hakuna majina mengine tena ya ualimu maana daraja la nne hawajaguswa kwa namna yoyote ile
 
shafii dauda. Daraja la nne wapo lkn ni mpaka point 35 za sasa kwa diploma in primary education na nacte system yao still ipo wazi. kama uliapply kwa kupia huo mfumo na bado waona haupo it means huna vigezo au ulifanya machaguo si sahihi. Unawezarudi kwenye profile yako na kufanya machaguo sahihi au new application. thanks
 
Last edited by a moderator:
Sikulazimishi kuamini kwa sababu sina kipaji cha uchungaji. Ila wapo tena wengi majority wanao kwenda diploma in primary education wana 4
 
Sikulazimishi kuamini kwa sababu sina kipaji cha uchungaji. Ila wapo tena wengi majority wanao kwenda diploma in primary education wana 4

kwa wale wenzangu na mimi walio apply kupitia barua je ? Ndo imekula kwayu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…