Hekima Ufunuo
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 220
- 11
Ndugu zangu wana JF nisaidieni, nilalamike wapi?
Narudisha watoto wangu shule na mwingine mmoja anaanza shule, kufika tu shuleni naambiwa ada ni dola za kimarekani kadhaaa, nashangaa, anayenihudumia ananiambia lakini unaweza kulipa kwa shilingi ila utabadilisha kwa kiwango cha 1,400/= kwa dola moja, naendelea kushangaaaa.
Naenda hotelini bagamoyo, nimeamua kupunguza uchovu wa pilika za Dar, nafika naambiwa bia dola mbili, chumba dola kadhaa, nashangaa, nauliza kwani hapa ni marekani? naambiwa shilingi haina msimamo. Nashangaaaaa
Napewa safari ya kikazi kwenda Afrika Kusini, najua niko kwa watu na pesa inayoweza kunisaidia ni Dola au Randi. Nikiwa hotelini nataka kulipa nilichotumia kwa dola, mhudumu ananiambia hapana nenda pale badilisha halafu nipe randi. nashangaaaaaaa.
Who is suppose to manage this in our country? Mr Ndulu? Mr Mkullo? au Mh Raisi? Naamini mtanisaidia. Hili jambo linanikera sana na sielewi ni nani sahihi wa kumlalamikia.
Respct.
Narudisha watoto wangu shule na mwingine mmoja anaanza shule, kufika tu shuleni naambiwa ada ni dola za kimarekani kadhaaa, nashangaa, anayenihudumia ananiambia lakini unaweza kulipa kwa shilingi ila utabadilisha kwa kiwango cha 1,400/= kwa dola moja, naendelea kushangaaaa.
Naenda hotelini bagamoyo, nimeamua kupunguza uchovu wa pilika za Dar, nafika naambiwa bia dola mbili, chumba dola kadhaa, nashangaa, nauliza kwani hapa ni marekani? naambiwa shilingi haina msimamo. Nashangaaaaa
Napewa safari ya kikazi kwenda Afrika Kusini, najua niko kwa watu na pesa inayoweza kunisaidia ni Dola au Randi. Nikiwa hotelini nataka kulipa nilichotumia kwa dola, mhudumu ananiambia hapana nenda pale badilisha halafu nipe randi. nashangaaaaaaa.
Who is suppose to manage this in our country? Mr Ndulu? Mr Mkullo? au Mh Raisi? Naamini mtanisaidia. Hili jambo linanikera sana na sielewi ni nani sahihi wa kumlalamikia.
Respct.