Erick tryphone
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 387
- 84
Mkuu bugando hawatoi certficate of nursing.wanatoa dip in nursing ada tsh lak 6.wanafunz wanachaguliwa na wizara.nadhan ume elewa.
Kwa kuongezea angalau awe na mtu anaye mfahamu hapo
mkuu kumbe wote wanaosma nursng bugando wana wa2 wanafahamiana hapo?au una maana ip?awe na mtu? kwan bugando ndo wanachagua?au hii iko vp 2juze mkuu.