Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nyimbo ni kali sana,ila ndio vile acha tuendelee na timu zetu.Hizi ndo ngoma za kupewa airtime na sio utopo wa kina harmonize sijui attitude😤😤
Nimetizama hii video ya Mario iliyofanywa na Adam Juma,jamaa kazi anaijua yaani pamoja na kupumzika bado anawapiga gap kubwa hawa vijana wa siku hizi.
Chief mbona kama umejazibika hivi?Hizi ndo ngoma za kupewa airtime na sio utopo wa kina harmonize sijui attitude😤😤
Kuna ngoma nyingine nayo kali sana ya CountryBoy inaitwa Baby ..kali lakini airtime hakuna.Hizi ndo ngoma za kupewa airtime na sio utopo wa kina harmonize sijui attitude[emoji36][emoji36]
Tulia chawa wa mmakondeChief mbona kama umejazibika hivi?
Safari hii huyu mmakonde amejua kuwafunga mdomo 🤣Tulia chawa wa mmakonde
kamfunga nan!! sinaga ushamba na ushabiki mandazi kama nyie! Yani harmonize anifunge mdomo mm🤣🤣Endeleen kumshabikia mshamba mwezenu!Safari hii huyu mmakonde amejua kuwafunga mdomo 🤣
Chief mbona umepanic sana huyo mmakonde amekufanza nini ?kamfunga nan!! sinaga ushamba na ushabiki mandazi kama nyie! Yani harmonize anifunge mdomo mm🤣🤣Endeleen kumshabikia mshamba mwezenu!
Ona huyo, alichoona yeye ni ntoto nkali tuAdam ni kama kisu cha bucha hakiishagi makali.Daah ila yule video vixen sijui kamtoa wapi,mtoto mkaliiii....
Sasa ulitaka nikuone wewe?Ona huyo, alichoona yeye ni ntoto nkali tu