Nahisi kalikuwa kwenye mission za kumuokoa jamaa. Kamempa ya pua akasogea kidogo jamaa akapata vacum ya kutoroka.Huyo ndo alikuwa nunda wao ila mi nimekapenda hako kalikovalia nyeusi zote kanapiga kiuoga na kamewezesha jamaa ale Kona..π
.View attachment 1675798
Sijui jamaa alikosea wapi!! But ahsante kwa huyo mwenye nyeusi kwa kufanya wepesi baharia akachoropoka kwenye kisago cha akina dada katili..[emoji23]
Dada zetu na nyie kuweni na huruma..[emoji12]