real toxic
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 533
- 104
- Thread starter
-
- #21
Mkudaa tu mchomvu, afu mibangee inamuharubu.
Kwa hiyo mtu akiitwa kwenye kipindi ndio haambiwi ukweli?Hivi ni sahihi kwa Adam Mchomvu kumwambia msanii kuwa "NYIMBO YAKO NI MBAYA SANA" mpaka msanii huyo kutoa chozi?
Je, kulikuwa na maana gani kumwita kwenye KIPINDI?
Hivi ni sahihi kwa Adam Mchomvu kumwambia msanii kuwa "NYIMBO YAKO NI MBAYA SANA" mpaka msanii huyo kutoa chozi?
Je, kulikuwa na maana gani kumwita kwenye KIPINDI?
jamaa mmoja iv wa shinyanga anaitwa mateso
mchomvu alivyotukana mbele ya rais kikwete dodoma alonikera sana alitamkaa mboo hazarani wakati wa kumtambulisha walter chilamboo
jamaa mmoja iv wa shinyanga anaitwa mateso
Uonevu tu, angekuwa na Kala p au Ze Dudus, angempa hayo makavu on air au angevunga ?
jamaa mmoja iv wa shinyanga anaitwa mateso