Adam Mchomvu amchafua Lady Jay Dee

Adam Mchomvu amchafua Lady Jay Dee

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
[h=3]ADAM MCHOMVU NA KAULI YA KUMCHAFUA LADY JAYDEE FACEBOOK[/h]


Mtangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu amejikuta kwenye wakati mgumu baada leo akaunti yake ya Facebook kuonesha imepost link yenye kichwa cha habari ‘Picha za uchi alizopiga Lady Jay D bofya hapa’. Kutokana na post hiyo, Adam amejikuta akitukanwa matusi mengi ya nguoni kitendo kilichomlazimu aombe radhi japo anadai hakuandika yeye.
adam.jpg

 
Anakameruniwa na rugay kitambo tu.
 
clouds na nguruwe waake wote wanaweweseka sana aisee!

Shenzi type zao wote. Wamuache JIDE afanye mambo yake!

Ruge iko siku atakuja kumkumbuka huyu mpambanaji and it will be too late.....
 
Njaa ni mbaya jamani, hamuoni mademu wanapowasaliti wawapendao kwasababu ya kutafuta kituliza tumbo? No one to be blamed jamani.
 
Vita hii sjui nani atashinda

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
anatumika kama ladypepeta atatupwa chooni akimalizwa kutumika
 
akiombwa t..a....k....o na anayemuweka hapa town atakataa?mwanaume kama bint looh
 
clouds na nguruwe waake wote wanaweweseka sana aisee!

Shenzi type zao wote. Wamuache JIDE afanye mambo yake!

Ruge iko siku atakuja kumkumbuka huyu mpambanaji and it will be too late.....

nguruwe tamu mkuu si twala
 
Sizani kama Adam anaweza kufanya jambo kama lile....i doubt it! Na hata kama angeamua kumchafua JIDE, sizani kama angefanya hivyo kupitia account yake!! Sasa kuna kila dalili kwamba kuna ma-culprit yaliyoamua kuharibu kila kitu kuhusu hawa watu!!
 
Back
Top Bottom