Adam Mchomvu wa Clouds FM endelea hivyo hivyo kutembeza Kichapo kwa Wapuuzi na Wanafiki tupo na tutakutetea

Adam Mchomvu wa Clouds FM endelea hivyo hivyo kutembeza Kichapo kwa Wapuuzi na Wanafiki tupo na tutakutetea

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mmeshajua kuwa Adam Mchomvu hapendi Shobo na kwamba ukijaa tu katika 18 zake Unachapika kwa Kipondo chake Tukuka na cha Kishalubela kwanini Umchokoze?

Nimefurahi mno alivyotoa Dozi kwa mwana Yanga Mmoja na Msanii huku Yeye Adam Mchomvu akiwa ni mwana Simba Kindakindaki Mwenzangu.

Hopeless kweli yaani Umealikwa Studioni kufanya Interview badala ya kufanya Kilichokupeleka Wewe unaanza Majungu na Kumfumba Mtu ili mradi tu Kumchafua na Kumkomoa ili wanaosikiliza Kipindi wamuone Mtukutu na hafai.

Kama Wote hapa mkimsema vibaya Adam Mchomvu kwa Ushujaa wa Kuadabisha Wajinga ( Mangumbaru ) Mimi GENTAMYCINE nipo na nitamtetea mno hapa mpaka pale Wapuuzi watakapobadilika.

Ukishoboka kwa Masela na Wahuni Unapigwa tu Kudadadeki hakuna namna. Tusizoeane sana na Kibwege bwege hapa duniani halafu Kujuana pia isiwe taabu.

Imeisha hiyo.......!!!!!!
 
Hivi dawa za uchizi zinauzwa au zinagawiwa bure, kama ni bure apewe huyu mtu kabla hajaharibu jukwaa.
 
huwa najiuliza kwanini huyu jamaa anajitahidi kuanzisha thread zenye hoja lakini bado anaitwa 'popoma' siku ya leo nimepata jibu
 
Mmeshajua kuwa Adam Mchomvu hapendi Shobo na kwamba ukijaa tu katika 18 zake Unachapika kwa Kipondo chake Tukuka na cha Kishalubela kwanini Umchokoze?

Nimefurahi mno alivyotoa Dozi kwa mwana Yanga Mmoja na Msanii huku Yeye Adam Mchomvu akiwa ni mwana Simba Kindakindaki Mwenzangu.

Hopeless kweli yaani Umealikwa Studioni kufanya Interview badala ya kufanya Kilichokupeleka Wewe unaanza Majungu na Kumfumba Mtu ili mradi tu Kumchafua na Kumkomoa ili wanaosikiliza Kipindi wamuone Mtukutu na hafai.

Kama Wote hapa mkimsema vibaya Adam Mchomvu kwa Ushujaa wa Kuadabisha Wajinga ( Mangumbaru ) Mimi GENTAMYCINE nipo na nitamtetea mno hapa mpaka pale Wapuuzi watakapobadilika.

Ukishoboka kwa Masela na Wahuni Unapigwa tu Kudadadeki hakuna namna. Tusizoeane sana na Kibwege bwege hapa duniani halafu Kujuana pia isiwe taabu.

Imeisha hiyo.......!!!!!!
kisungura bana
 
Unga, ngada mbaya mnooo. Kijana kaa mbali na madawa ya kulevya.
Mungu wasimamie wa Tanzania
 
Back
Top Bottom