Adam Sapi Mkwawa alishika nafasi ya Spika mara 2

Adam Sapi Mkwawa alishika nafasi ya Spika mara 2

Kisesetusese

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
393
Reaction score
615
Adam Sapi Mkwawa alishika Uspika mara mbili, kwa anayejua kwa nini atusaidie.

Erasto Andrew Mbwana Mang'enya alishika miaka 2 tu baadae Adam akaja kushika tena.
 
Aliyetakiwa kujibu Hilo ni hayati mwl Julius kambarage nyerere

Au ,mzee wetu mudi wa magomeni mtambani mzimuni(mwandishi wa habari mjanja mjanja Toka enzi hizo
 
Back
Top Bottom