Adam wa kiafrika mbele ya Eva, atapona?

Adam wa kiafrika mbele ya Eva, atapona?

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2008
Posts
4,768
Reaction score
2,361
1651037258467.png

Huyu Adamu wa kiafrika atapona kweli?
Tunda lazima liliwe.
 
Mishangazi ya hivi inatia hamasa kweli kweli.
Unaweza kujikuta kwenye mapaja tu wazungu hawa hapa.
 
Mishangazi ya hivi inatia hamasa kweli kweli.
Unaweza kujikuta kwenye mapaja tu wazungu hawa hapa.
Kuna aina ya wanawake kadri wanavo zidi kukua wanazid kuwa wasuri zaid up tu 45
 
Yupo Yesu wa kiafrica alikuwa amebebeshwa msalaba kuelekea cruxification area, mafarisayo si wakajichanganya wakawa wanataka kumpiga stick

Yesu huyu hakuwa mnyonge hakukuubali kupigwa kizembe aliwageukia na mateke kadhaa ambayo yaliwafanya mafarisayo wachachawe kuonesha hakuwa mnyonge alionesha namna ambavyo Yesu wa kizungu alipaswa kufanya katika nyakati zake
 
Back
Top Bottom