<br /><br /><br />
<br /><br />
safi sana, njia ya muhimu ni kuamua we mwenyewe, usiige, ikatae hiyo tabia toka rohoni mwako, jione we ni mtu mwovu usie faa kitu na njia ya kujirudisha kwenye jamii ni kujitakasa kwa kuacha kufanya unayofanya.
Poleni na maisha ya kuishi bila umeme wakuu!ebana me cjui nikoje,yan nkimtongoza demu 2 akinambia nimpe tym akafikirie,bac ntaanza kujipendekeza kwa kumrushia vocha,na kumuonyesha namjal kinafiki afu asilimia kubwa ya ninao wafanyiaga hvo huwa wanaingia king,then me nakula mzigo baada ya cku kadhaa namshit...so sasa hvi naanza kujsh2kia kuwa hyo co njia nzur ya kupata mpz wa kwel..ni2mie principal gan wakuu maana naona haya co maisha ukizingatia pesa zenyewe nnazoz2mia ni zenu nyie walipa kodi wa tanzania{boom}.
vocha ni kuhonga kweli
Poleni na maisha ya kuishi bila umeme wakuu!ebana me cjui nikoje,yan nkimtongoza demu 2 akinambia nimpe tym akafikirie,bac ntaanza kujipendekeza kwa kumrushia vocha,na kumuonyesha namjal kinafiki afu asilimia kubwa ya ninao wafanyiaga hvo huwa wanaingia king,then me nakula mzigo baada ya cku kadhaa namshit...so sasa hvi naanza kujsh2kia kuwa hyo co njia nzur ya kupata mpz wa kwel..ni2mie principal gan wakuu maana naona haya co maisha ukizingatia pesa zenyewe nnazoz2mia ni zenu nyie walipa kodi wa tanzania{boom}.
hata mimi nina wasiwasi hawa watakuwa 'sidanganyiki' tena wale wenye simu za elfu 20,eti totoz wa high school au chuo umpate kwa VOCHA ? sidhani hapa kuna walakini angalia tu miaka 30 jela sio mchezo na kule kuna wababe weye ndio utakuwa 'sidanganyiki' muulize TID.kwa vocha tu? sina uhakika kama co wadogo zetu wa primary hao....waache angalau wamalize secondary......wangekuwa ni madada poa huwa hawachukui vocha