Demu wako hakuwa mwamifu, ukamtosa. Je, hao 'majimama' ni waamifu ? What I mean is that ulibambua lebo mwenyewe ?Heshima yenu wakuu!!wajamen,nina 23yrz na ni mwanafunz wa chuo flani hapa dar,niliwah kuwa na galfriend wa rika langu miaka miwil ilyopita bt niligundua sio mwaminifu kwangu so nkaamua kuachana nae,tangu nimeachane nae me nimekua m2 wa kujirusha au kutamani kutoka na wamama wa2 wazima au wadada wenye miili mikubwa,sababu yangu kubwa ya kufanya hivi ni kwamba ctaki kupata stress kama nilizozipata mwanzo.je kuna madhara ya mimi kufanya hivi wakuu maana naona imekua too much?
Well
If that is what you want ..
And you're happy ..
Keep doing it.. as long is not somebody's wife
..
Sioni tatizo..
Angalia usimezwe tu... TC
Heshima yenu wakuu!!wajamen,nina 23yrz na ni mwanafunz wa chuo flani hapa dar,niliwah kuwa na galfriend wa rika langu miaka miwil ilyopita bt niligundua sio mwaminifu kwangu so nkaamua kuachana nae,tangu nimeachane nae me nimekua m2 wa kujirusha au kutamani kutoka na wamama wa2 wazima au wadada wenye miili mikubwa,sababu yangu kubwa ya kufanya hivi ni kwamba ctaki kupata stress kama nilizozipata mwanzo.je kuna madhara ya mimi kufanya hivi wakuu maana naona imekua too much?
Well
If that is what you want ..
And you're happy ..
Keep doing it.. as long is not somebody's wife
..
Sioni tatizo..
Angalia usimezwe tu... TC
Jamaa anamatatizo na watu wenye1. Umri wake 2. watu wenye miili midogo..Hivi ndivyo vitu viwili ambavyo vinampa stress ...Na ameona solution ni kwendaOpposite na hivyo vitu..Ndio maana nikasema as long his happySioni tatizo ..ngoja niongezee.Play safe..use protection ...Mhhhh.. unamsapoti kwa hili?
Heshima yenu wakuu!!wajamen,nina 23yrz na ni mwanafunz wa chuo flani hapa dar,niliwah kuwa na galfriend wa rika langu miaka miwil ilyopita bt niligundua sio mwaminifu kwangu so nkaamua kuachana nae,tangu nimeachane nae me nimekua m2 wa kujirusha au kutamani kutoka na wamama wa2 wazima au wadada wenye miili mikubwa,sababu yangu kubwa ya kufanya hivi ni kwamba ctaki kupata stress kama nilizozipata mwanzo.je kuna madhara ya mimi kufanya hivi wakuu maana naona imekua too much?
MmmmhhhNimemwambia angalia usimezwe...Kwa hilo anatakiwa awe mwangalifu sana.Ukisoma poster sio kama hajui..Ila hii ndio njia yake ya kuondoa na Kukabiliana na stress ....Nadhani anajua matatizo yanayoambatanaNa wake za watu....Tatioz hapo wengi wao ni wake za watu. Wasije waka m do huyu dogo.
well,ni kwamba,yani kutokana na hawa wa2 kuwa ni wa2 wanaoishi mtaani na mie niko chuon,bac huwa nakutana nao mara moja moja{mara nyng weekend},namalizana nao na hakuna commitment yoyote,then kuhusu hao wadada wenye miili mikubwa,kwa kwel naweza kusema nao ni wakubwa kiumri kwangu.hao majimama unakuwa nao kwa usiku mmoja then hakuna commitment au inakuwaje mkuu...halafu umesema unatoka na majimama au wadada wenye miili mikubwa.hao wadada wenye miili mikubwa wanatofauti ipi kiumri na kitabia na ex wako.ukinijibu hapo mkuu nadhani nittaweza sema chochote kushauri...
mkuu,ninaposema ctaki stress,namaanisha kwamba,hawa gals wa rika langu,naona ka watanitesa sana na watanifanya niwe commited na mapenz muda wote so solution nloiona ni kukimbilia upande wa pili wa shilingi ambako siumizi tena kichwa changu kufikiria mapenzi as najua kuwa na wa2 wa sample hyo ni just for kukidhi kiu yangu 2 na wao nadhan wanalitambua hlo...na tangu nianze hii tabia naweza kusema mambo yangu hasa ya kishule yananiendea vzr sana coz GPA yangu inapanda kila semister.Jamaa anamatatizo na watu wenye1. Umri wake 2. watu wenye miili midogo..Hivi ndivyo vitu viwili ambavyo vinampa stress ...Na ameona solution ni kwendaOpposite na hivyo vitu..Ndio maana nikasema as long his happySioni tatizo ..ngoja niongezee.Play safe..use protection ...
I have no problem with that ..ndio maana nika kwambia safi..As long you're happy..Ila ningependa kuulizado you always run away from your problems?mkuu,ninaposema ctaki stress,namaanisha kwamba,hawa gals wa rika langu,naona ka watanitesa sana na watanifanya niwe commited na mapenz muda wote so solution nloiona ni kukimbilia upande wa pili wa shilingi ambako siumizi tena kichwa changu kufikiria mapenzi as najua kuwa na wa2 wa sample hyo ni just for kukidhi kiu yangu 2 na wao nadhan wanalitambua hlo...na tangu nianze hii tabia naweza kusema mambo yangu hasa ya kishule yananiendea vzr sana coz GPA yangu inapanda kila semister.