Addiction

wengine karibia tutapewa talaka rejea maana ukiamka uko humu ukilala umo humu unasahau kama kuna mambo mengine yanaendelea huu ugonjwa kabisa
 
No human can live without MMU
And MMU takes 70% of any human being life
 
mkuu, you've to balance btw JF na life yako, family, work otherwise,
mambo yanaweza kuharibika you know wht i mean?
 
wengine karibia tutapewa talaka rejea maana ukiamka uko humu ukilala umo humu unasahau kama kuna mambo mengine yanaendelea huu ugonjwa kabisa

oooh, si unaona - ni hatari chauro, utakuja kauka ndani ya urojo - hahaha
 
Hivi inawazekana mtu kuwa semi-banned? kwamfano anakuwa banned kwenye MMU, but anaweza access siasa, technology, na majukwaa mengine...
 
Hahhaaaaaaaaa imesaidia kupunguza uvuvuzela mr saa kumi dot kashatinga home huoni positive impact yake hapo B_F :clap2:

TE=Blue_Face;1602204]oooh, si unaona - ni hatari chauro, utakuja kauka ndani ya urojo - hahaha[/QUOTE]
 
mkuu, you've to balance btw JF na life yako, family, work otherwise,
mambo yanaweza kuharibika you know wht i mean?
Yeah... tough balancing act as well
 
Hivi inawazekana mtu kuwa semi-banned? kwamfano anakuwa banned kwenye MMU, but anaweza access siasa, technology, na majukwaa mengine...
Aisee itabidi kumuuliza invisible
 
Kuuliza si ushamba eti emu emu yuuu ndio nini
 
MMU ni noma kwa kweli mi niko kijiji huku lakini nimo 2 nachungulia chungulia kazi zikipungua. Huu ni ugonjwa kabisa
 

Umetunyanyapaa sisi tusiojua kuzungu...yaani huwezi kuamini nimeambulia hayo ambayo nimeyawekea alama nyekundu.... Tafadhali rudia kwa kiswahili tukuelewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…