Adebayor na toure wazitwanga kavukavu in the training ground

wameibiana mademu nini..?! ma blonde wanawapeleka puta
 
wameibiana mademu nini..?! ma blonde wanawapeleka puta

Kwa tunaomjua Toure huyu jamaa ni very mpole sana na mtu mwenye busara hawezi kugombania kitu kama hicho, hii itakuwa ni kwenye training tu wamekosa kuelewana lakini Adebayor ni hot headed hana busara kabisa
 
Source the Guardian
 
Mkuu ungetupa na source au hata link yake ingekaa uzuri zaidi
 

More info.......
Kolo Toure and Emmanuel Adebayor fight dates back months | Mail Online
 
teh teh Ingekuwa Adebayor na Vieira ningepata kuumiza kichwa nani kachokoza mwenzie.

Lakini Adebayor na Toure?
Ni wazi kuwa hilo sakala la Togo ni chokozi.
 
Kwa tunaomjua Toure huyu jamaa ni very mpole sana na mtu mwenye busara hawezi kugombania kitu kama hicho, hii itakuwa ni kwenye training tu wamekosa kuelewana lakini Adebayor ni hot headed hana busara kabisa

Wewe umechangia bila hata kujua ni toure gani k.weli unajua mpirwa mpira wewe. Kuna toure wawili huyo mpole ni yupi
 
Wewe umechangia bila hata kujua ni toure gani k.weli unajua mpirwa mpira wewe. Kuna toure wawili huyo mpole ni yupi


Kaka ukiangalia picha tu pale juu utamtambua ni toure yupi....aliyepigana....si zani kama hoja yako ina mantiki!!!!
 
what a shame... african players, fighting before cameras... they were supposed to be brothers,
african players? You mean wazungu hawawezi kufanya hivyo? Umelitumia vibaya hilo neno. Aidha unatania au hujui historia ya soka! Lee bowyer na kieron dyer wa newcastle walishawahi kuzipiga tena katikati ya mechi april 2005, ni waafrika hao? Jamani let us treat african behaviour as persona and not general
 
Wewe umechangia bila hata kujua ni toure gani k.weli unajua mpirwa mpira wewe. Kuna toure wawili huyo mpole ni yupi

My friend from your comment It seems I know football more than you... The Toure am talking about is Kolo Toure not Yaya Toure who both are brothers.... Toure tangu akiwa Arsenal ni mtu mpole sana wala sio mtu wa matanuzi hadi wenzao wakawa wanamshangaa jamaa ni mtu wa swala tano kipindi hicho yeye na mshikaji wake ebue, please if you want to know about football tuulize..... some of us we eat and sleep football... I have been following African footballers since the days of Eusebio..... So please dont insult my intelligence....
 
Kaka ukiangalia picha tu pale juu utamtambua ni toure yupi....aliyepigana....si zani kama hoja yako ina mantiki!!!!
sawa alikuwa na haki ya kuuliza lakini,ila picha nayo sioni vizuri,ila hawa man city kumbe nidhamu hakuna maana naona hata Yaya vs Milner,Tevez vs Mancini,Balotelli vs Boateng wote walishakwaruzana,ila sitosahau toka nashabikia mpira ngumi ktk mechi kati ya Lee Bowyer ambae yupo Birmingham city sasa vs Kieron Dyer ambae yupo West ham walipodundana kavukavu wakiwa timu moja Newcastle wote wakati huo tena ilikuwa ni mechi ya English premier ligi nimesahau Newcastle na nani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…