jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Aden your where more than a Brother to me and I believe anyone who seeked your help or advice [emoji817] always there! Aden may your Gentle Soul rest in Eternal peace
SawaZaidi ni bibi Makula (mama yao) ndiye mtu wa watu, anacheka na kila mtu, amesaidia wengi kwenye ajira kupitia watoto wake.
Where [emoji1]Ungetumia lugha yetu mkuu.
Pole sana kwa msiba
yeah he was the best copIla alikua mtu poa sana. Hakua na shida na mtu. R.I.P Mwamnyange Aden
Nfikile pafwa tayariUne ndi ku Tabata (Kukaja now)...ungukwaga mu SAA 7
Bujibuji nishatia timu msibani tayariNdi munjila ngwisa kufwa
Aden Mwamunyange, umenikumbusha enzi za lile Jeshi la Polisi la Kijambazi. Jeshi la Polisi linapitia nyakati ngumu zenye sura nyingi za ajabu.
Kutoka Ujambazi hadi sasa hivi walipoamua kuliweka chini ya Green Guard upande mmoja na upande mwingine kama moja ya Jumuiya ndani ya Chama.
Acha ubishi wa kirofa hiyo familia mm naijua mnoooo mwaka 1989 baada ya baba yao mzee Adolf MWAMUNYANGE kufariki mm nilikaa pale nyumbani maana Nina unasaba na ile family so naongea with vivid evidence Nasser alifariki siku nyingi kabla hata mdogo wake Looser hajafarikiSiyo kweli Mdogo wake Nasson (Nasser) bado yuko, dada yake Mrs Kiboko naye bado yupo.
Oh YesAden Mwamunyange aliywahi kuwa msrmaji wa Jeshi la Polisi ni mkubwa na Davis Mwamunyange aliyekua mkuu wa majeshi ni mdogo.
Yaani wewe umesema umewahi kaa na hii familia..mbona unaninanga Sana mkuu😀Ana watoto wawili walevi hao hatari
Vyombo ina maana mbili katika muktadha huu, ni pombe au chungudoas?Tumegonga nae vyombo sana
Jana nimekutafuta sijakuona mkuuAcha ubishi wa kirofa hiyo familia mm naijua mnoooo mwaka 1989 baada ya baba yao mzee Adolf MWAMUNYANGE kufariki mm nilikaa pale nyumbani maana Nina unasaba na ile family so naongea with vivid evidence Nasser alifariki siku nyingi kabla hata mdogo wake Looser hajafariki
Vyombo ina maana mbili katika muktadha huu, ni pombe au chungudoas?
Hahahaha sijainanga mkuu ila nimezungumzia kilaji mkuuYaani wewe umesema umewahi kaa na hii familia..mbona unaninanga Sana mkuu[emoji3]
Yes ni watu wazima lakini,kufa kawaida.Ile familia sijui kuna tatizo gani walizaliwa watoto 10 Kama so 11 lkn wamepukutika wote wamebaki wawili tu Gen Davis na dada yake Rhoda mwamunyange[emoji15][emoji15]
Ktk wote waliokufa huyu ndiye mtu mzima wengi wamekufa hata 50 hawakufikishaYes ni watu wazima lakini,kufa kawaida.
Kuna mdogo wao mmoja akiitwa Ipyana au IPP nilisoma naye miaka ya themanini mwishoni alikuwa na TATOO imeandikwa IPP mkononi yuko wapi siku hizi?Ktk wote waliokufa huyu ndiye mtu mzima wengi wamekufa hata 50 hawakufikisha
80 mwishoni?? Mhhh!alichora tatoo !!!!!