sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Kama njia ya kuondoa malalamiko ya chama cha soka Zanzibar [ZFA] kua soka la Zenji linahujumiwa na TFF.. Aden Rage amependekeza leo Bungeni kuundwa kwa chombo kimoja kitakachosimamia kabumbu nchini Tanzania, tofauti na sasa ambapo kuna TFF na ZFA. Ametolea mfano wa Shirikisho La Olimpiki Tanzania [TOC] ambalo huoperate Tanganyika na Zanzibar..
Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa michezo, Juma Nkamia alidai kua watakaa Serikali, TFF, ZFA na wadau wengine kuona wanalishughulikia vipi hilo suala.
Maoni Yangu.
Naungana na Rage kwani;
1. Yale malalamiko ya ZFA kua inabaniwa kujiunga FIFA na TFF yataisha.
2. Tutafaidika zaidi na vipaji vingi toka Zanzibar katka ligi kuu itakayojumuisha timu za Zenji.. Tutegemee kuwaona kina Nadir, Babi n.k wengine.
3. Yale madolari yanayotolewa na FIFA kila mwaka, yatatumika pia kuendeleza soka la zenji.. tofauti na hali ilivyo sasa.
Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa michezo, Juma Nkamia alidai kua watakaa Serikali, TFF, ZFA na wadau wengine kuona wanalishughulikia vipi hilo suala.
Maoni Yangu.
Naungana na Rage kwani;
1. Yale malalamiko ya ZFA kua inabaniwa kujiunga FIFA na TFF yataisha.
2. Tutafaidika zaidi na vipaji vingi toka Zanzibar katka ligi kuu itakayojumuisha timu za Zenji.. Tutegemee kuwaona kina Nadir, Babi n.k wengine.
3. Yale madolari yanayotolewa na FIFA kila mwaka, yatatumika pia kuendeleza soka la zenji.. tofauti na hali ilivyo sasa.