king kakaa
Member
- Sep 26, 2018
- 25
- 79
Habari wakuu mimi ni kijana naishi Mikoa y kanda ya juu Kusini nimekuja Dar es Salaam Kama miezi mitatu iliyo pita namaanisha kukaa bila kuondoka Kwa muda mrefu.
Japo huwaga nakujaga nakaa wiki nikimaliza kilicho nileta naondoka nilifanya hivi kwa muda mrefu.
Sasa na kero moja niliyo ishuhudia mara kadhaa ikijirudia hili swala la ukamataji pikipiki Kama hujavaa kofia ngum maeneo Sugu ni.
Barabara ya Uhuru kuanzia Karume hadi makutano ya mtaa wa Uhuru na Sikukuu.
Kamata, darajani na daraja la Keko (flyover) na pale juu ya kamata Kama unaenda kurasini kabla hujafika Puma.
Kuna hawa jamaa huwa sio askari police japo wana backup ya police huwa wamefanya ukamataji ndio kazi yao na wamekua kero sana na huwa wanakuja bila taadhari upo kwenye pkpk inatembea wao wanarukia nkuchomoa funguo wamekua wakisababisha ajali kizembe sana.
Nimeshuhudia ajali zaidi ya 4 na kunasiku walikutana na mbabe wakachezea kipigo napenda wanavyo jali uslama wa chombo naa mwendeshaji ila kero ni namna wanavyo tekeleza jukum hilo.
Kwa ugeni wangu ikabidi niwaulize boda boda wakasema kwanza wale sio maaskari wanitwa Nyungu wengi wao walikua bod boda ila wakajiongeza wanakula na mapolis yapo makundi mawili tofauti ya hao nyungu.
Ombi Kwa serikali kwanza hawa Nyungu wanajiahatarishia maisha Kwa namna yeyote ile kwasababu hawa boda wamewachoka nanwqnawajua vizuri pili ili swala Kama maaskar ndio jukum lao basi wafanye wao Kwa weledi.
Kwasbabu hawa vijana waboda usiku ukiwakuta wengi wao ndio wanatafuta ridhiki sana wanatoka mitaani kuja mjini kubeba abiria mshikak mfano mbagala na goms abiria mmoja 2000 alafu nyungu akikukamata anataka 20 elfu mpaka 5000 kweli hii ni sawa.
Japo huwaga nakujaga nakaa wiki nikimaliza kilicho nileta naondoka nilifanya hivi kwa muda mrefu.
Sasa na kero moja niliyo ishuhudia mara kadhaa ikijirudia hili swala la ukamataji pikipiki Kama hujavaa kofia ngum maeneo Sugu ni.
Barabara ya Uhuru kuanzia Karume hadi makutano ya mtaa wa Uhuru na Sikukuu.
Kamata, darajani na daraja la Keko (flyover) na pale juu ya kamata Kama unaenda kurasini kabla hujafika Puma.
Kuna hawa jamaa huwa sio askari police japo wana backup ya police huwa wamefanya ukamataji ndio kazi yao na wamekua kero sana na huwa wanakuja bila taadhari upo kwenye pkpk inatembea wao wanarukia nkuchomoa funguo wamekua wakisababisha ajali kizembe sana.
Nimeshuhudia ajali zaidi ya 4 na kunasiku walikutana na mbabe wakachezea kipigo napenda wanavyo jali uslama wa chombo naa mwendeshaji ila kero ni namna wanavyo tekeleza jukum hilo.
Kwa ugeni wangu ikabidi niwaulize boda boda wakasema kwanza wale sio maaskari wanitwa Nyungu wengi wao walikua bod boda ila wakajiongeza wanakula na mapolis yapo makundi mawili tofauti ya hao nyungu.
Ombi Kwa serikali kwanza hawa Nyungu wanajiahatarishia maisha Kwa namna yeyote ile kwasababu hawa boda wamewachoka nanwqnawajua vizuri pili ili swala Kama maaskar ndio jukum lao basi wafanye wao Kwa weledi.
Kwasbabu hawa vijana waboda usiku ukiwakuta wengi wao ndio wanatafuta ridhiki sana wanatoka mitaani kuja mjini kubeba abiria mshikak mfano mbagala na goms abiria mmoja 2000 alafu nyungu akikukamata anataka 20 elfu mpaka 5000 kweli hii ni sawa.