Adha ya kusubiria Msanii kufanya show

Ebooooo kwani ubora wa msanii unatokana Na show zake anavyofanya au Muziki wake anaotoa?!

Kama unataka show ya maana ungesubiri Koffi Olomide au Fall Ipupa waje.
 
Vipi alipanda au aliingia mitini?!

Na show yake ilikuaje alikukuna?!
 
Nshajua una umri gani.
Atakaye imba ni darasa au cd tu ye atafuatisha kwenye mike iliyozimwa?
 
Nakumbuka first time fiesta inaanza ilifanyika Mkwakwani Tanga, nikazama nikiwa na high expectations lakini nilipofika nilichoka kabisa yaani msanii pekee alieniimpress alikuwa Prof.Jay na ngoma yake ya piga makofi lakini wengine wote upuuzi mtupu.Tangu siku hiyo sijawahi kuhudhuria shows zao bora niwacheki tu kideoni [emoji26]
 
Nshajua una umri gani.
Atakaye imba ni darasa au cd tu ye atafuatisha kwenye mike iliyozimwa?
Haaaahaaa,umri siyo tatizo sehemu ambayo alikuwepo ndiyo eneo langu la kujidai.Pamoja na hayo hakuna Msanii ambaye anaweza kupiga live band kwa kutumia DJ.
 
Hapa Karibu na Ofisi za Bima,The Wallet Lounge Kiwanja kipya toka Xmass kilizinduliwa.Karibu sana hapa
Mkuu nimefika the wallet hapa em jamba nione uwepo wako maana kuna nyomi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…